Kiswahili kozi in Zanzibar..

pascaldaudi

JF-Expert Member
Mar 25, 2009
534
96
Hello Great of Great Thinkers!!
Jamani nina jamaa zangu wanataka kuja bongo wakitokea ulaya, ila wanahitaji kusoma kozi ya Kiswahili, na sehemu wanayotaka kusoma ni wakiwa Zanzibar, sasa je kuna mtu anayefahamu sehemu ambayo ni:
  1. Nzuri kwa ufundishaji (wapo siriasi)
  2. Yenye kufikika kiurahisi (maana iwe karibu na labda hoteli nzuri, na haina vibakavibaka)
 
Back
Top Bottom