zegamba180
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 819
- 530
Unapoenda kumtembelea Zegamba kwake ukamuulizia ukaambiwa yupo ndani. Nawe uhitaji kuingia ndani. Je, utamwambia;
1.Toka nje ama
2.Toka ndani
lipi sahihi?
1.Toka nje ama
2.Toka ndani
lipi sahihi?
werrason umejibu vizuri mnoo. weng wetu tunakosea sana hapa. Jibu sahihi "atoke ndani" ili aje njeToka ndani.
Naelewa kuwa A. Aliposema upo' upo? Upo ya kwanza ni kifaa fulani ambacho anakiulizia kwa neno lake la pili pale aliposema Upo?Je!nini unaelewa kwenye kiswahili ukiwasika watu wawili wanajibizana, mtu A anamuuliza B,,,,,"UPO,UPO?",na mtu B anamjibu mtu A,,,"UPO"
uko sawa mkuu,"UPO"ni kitu chochote ambacho hutumiwa na vyombo vya baharini ukiachilia mbali meli na boti za kisasa,ambacho hutumika kutolea maji yaliyo ndani ya ama mtumbwi,dau au ngalawa na kuyamwaga nje.Naelewa kuwa A. Aliposema upo' upo? Upo ya kwanza ni kifaa fulani ambacho anakiulizia kwa neno lake la pili pale aliposema Upo?
Na B alikua anajibu kuwepa kwa kifaa hicho pale aliposema kuwa Upo''