Steve Dii
JF-Expert Member
- Jun 25, 2007
- 6,402
- 1,254
- Thread starter
- #21
Umesoma Tanzania? Kama umesoma Tanzania elimu ya msingi na ya upili huwezi kuacha kujua maneno haya. Labda uwe unaidharau lugha ya Kiswahili kiasi kwamba hutaki kuwa makini nayo.
Kwako wewe uliyesoma Tanzania msingi, upili na mwenyeuwezo wa kung'amua mapenzi na kiwango cha thawabu nilichonacho juu ya Kiswahili; naomba mchango wako kwenye hoja niliyoweka ya Kiswahili kuelemea kwenye Kiarabu zaidi ya Kibantu. Ahsante.