Kiswahili kigumu jamani embu cheki hii tafsiri

SWADO

Member
Dec 11, 2010
83
2
Kuna mzungu mmoja alikuwa anajitahidi kuzungumza kiswahili wakati akitoa mawaidha kwa wanajamii aliyokuwa anafanya nao kazi. Ilikuwa hivi ''Jamani pandaneni ninyi kwa ninyi, kila mmoja ampande mwenzake''. Alikuwa anamaanisha pendaneni ninyi kwa ninyi kila mmoja ampende mwenzake watu wakashika mbavu zao kwa vicheko.
 
Nafikiri walichocheka hapo ni hiyo concept ya kupandana ndiyo iliyowafurahisha wengi, lakini ni matamshi tu!
 
Kuna mzungu mmoja alikuwa anajitahidi kuzungumza kiswahili wakati akitoa mawaidha kwa wanajamii aliyokuwa anafanya nao kazi. Ilikuwa hivi ''Jamani pandaneni ninyi kwa ninyi, kila mmoja ampande mwenzake''. Alikuwa anamaanisha pendaneni ninyi kwa ninyi kila mmoja ampende mwenzake watu wakashika mbavu zao kwa vicheko.

Akaendelea kusema "Baada ya kuona kuwa njia zenu za kuenda kwa miguu ni nyembamba sana, tumekaa na viongozi wenu na tumekubaliana tuwaletee mtombo mmoja wa kupasulia haya mawe ili kupanua hizi barabara zenu!!!"
 
Kuna mzungu mmoja alikuwa anajitahidi kuzungumza kiswahili wakati akitoa mawaidha kwa wanajamii aliyokuwa anafanya nao kazi. Ilikuwa hivi ''Jamani pandaneni ninyi kwa ninyi, kila mmoja ampande mwenzake''. Alikuwa anamaanisha pendaneni ninyi kwa ninyi kila mmoja ampende mwenzake watu wakashika mbavu zao kwa vicheko.

tena kabla ya hubiria hao watu, alisema hv:
wababa salamu wenu?
Wamama habari za siku zenu?
 
Sio kiswahili nadhani ni matamshi/pronunciation ndio tatizo.

kiswahili ni lugha. Lugha ni sauti za nasibu zilizokubaliwa na jamii flani itumike katika mawasilia. Lugha ina sarufi,ktk lugha kuna mofimu,pia kuna vitu vinaitwa tungo. Kuna tungo tata,tungo shurtia,changamano n.k. Vyote utokana na aina nane kuu za maneno. Mohammed hoja yako inanasa wapi ktk utaratibu huu?
 
Kuna mzungu mmoja alikuwa anajitahidi kuzungumza kiswahili wakati akitoa mawaidha kwa wanajamii aliyokuwa anafanya nao kazi. Ilikuwa hivi ''Jamani pandaneni ninyi kwa ninyi, kila mmoja ampande mwenzake''. Alikuwa anamaanisha pendaneni ninyi kwa ninyi kila mmoja ampende mwenzake watu wakashika mbavu zao kwa vicheko.

nadhani wote walielewa, ila kwa kuwa mawazo ya wabongo ni ya kingonongono tu ndo maana wote walicheka.
 
Back
Top Bottom