tabibumtaratibu
JF-Expert Member
- May 29, 2011
- 2,405
- 1,181
Jaman watumiaji wa kiswahili mmeliona hili?Ngoja niwaoneshe "kuna maneno kede wa kede ya kiswahili yamepoteza hadhi yake ya kawaida na kuvikwa hadhi ya matusi,mfano maneno kama;kuliwa,kupakuliwa,kupigwa,kugeuzwa,kubanduliwa na kadhalika"jaman mbona twakitia ukakasi wa maana kiswahili chetu?Tuacheni tabia hii sio nzuri katika kaumu.