Rais Idd Amin naye alikuwa na tatizo kama la rais wetu. Inawezekana ni coicidence tu au ni nn? Maana naona wana vitu vingi wanavyofanana.Rais hapimwi kwa umahiri wa lugha. Hapa Kazi Tu
Ninaifikiria hiyo siku Wahaya na Wachaga watakuja juu na nchi itagawanyika. Kaskazini itakuwa Kichaga lugha ya kanda na Magharibi Kihaya lugha ya kandaMsije shangaa siku moja anaamka anatoa amri kisukuma ndiyo lugha ya taifa
Amin alikua na confidence sana, wazungu walipenda kufanya mahojiano nae na kuyarusha kwenye TV.Rais Idd Amin naye alikuwa na tatizo kama la rais wetu. Inawezekana ni coicidence tu au ni nn? Maana naona wana vitu vingi wanavyofanana.
Pole yao small tribes like zanaki, kwele itakula kwao..Ninaifikiria hiyo siku Wahaya na Wachaga watakuja juu na nchi itagawanyika. Kaskazini itakuwa Kichaga lugha ya kanda na Magharibi Kihaya lugha ya kanda
Jaribu kujitathimini.Kuna watu wamekuwa wakijadili umahiri wa Lugha ya Malkia kwa MTUKUFU MHESHIMIWA RAIS DOKTA Magufuli.
Lakini kiukweli tatizo halipo katika Lugha ya malkia bali Lugha kwa ujumla
Ukimsikiliza kiswahili chake sio standard anatafuna maneno na mengine hawezi kuyatamka ana misamihati michache sana ya kiswahili
wataalamu wa linguistic pale BAKITA na TUKI fanyeni kazi yenu
Mungu amegawa vipaji tofauti,kujua lugha ni kipaji ila hata wasio na kipaji wakipigwa msasa wanakuwa na angalau.
ahaaaaaaa msasa unahusu na the amazon training collegehadi jina la Abdulrahman Kinana hawezi kulitamka anasema abram
Kuna watu wamekuwa wakijadili umahiri wa Lugha ya Malkia kwa MTUKUFU MHESHIMIWA RAIS DOKTA Magufuli.
Lakini kiukweli tatizo halipo katika Lugha ya malkia bali Lugha kwa ujumla
Ukimsikiliza kiswahili chake sio standard anatafuna maneno na mengine hawezi kuyatamka ana misamihati michache sana ya kiswahili
wataalamu wa linguistic pale BAKITA na TUKI fanyeni kazi yenu
Mungu amegawa vipaji tofauti,kujua lugha ni kipaji ila hata wasio na kipaji wakipigwa msasa wanakuwa na angalau.