Kisukari na matibabu ya mtoto wa jicho

andalwisye

New Member
Apr 11, 2012
1
0
Hodi wana jamvi! Nina tatizo nahitaji msaada wa maoni na ushauri wa kitaalamu au uzoefu, mzee wangu ana tatizo la kisukari kwa muda sasa lakini hivi karibuni limejitokeza tatizo lingine la mtoto wa jicho ambapo hawezi kuona kabisa. Baada ya kutafiti matibabu yake inaonekana anahitajika kufanyiwa upasuaji mdogo ili kuondoa mtoto wa jicho. Napenda kufahamu ni Hospitali gani nzuri kwa matibabu hayo kwa Dar es Salaam na je upasuaji mdogo hauwezi kuwa na madhara zaidi kwa mgojwa wa kisukari?
 
Hodi wana jamvi! Nina tatizo nahitaji msaada wa maoni na ushauri wa kitaalamu au uzoefu, mzee wangu ana tatizo la kisukari kwa muda sasa lakini hivi karibuni limejitokeza tatizo lingine la mtoto wa jicho ambapo hawezi kuona kabisa. Baada ya kutafiti matibabu yake inaonekana anahitajika kufanyiwa upasuaji mdogo ili kuondoa mtoto wa jicho. Napenda kufahamu ni Hospitali gani nzuri kwa matibabu hayo kwa Dar es Salaam na je upasuaji mdogo hauwezi kuwa na madhara zaidi kwa mgojwa wa kisukari?

Pole kwa mzee!
Mtoto wa Jicho ni one of long term complications of Diabetes Mellitus. Ni ugonjwa ambao unaweza kutibika kwa upasuaji. Kwahiyo mpeleke Muhimbili au CCBRT kwa matibabu. Jambo la msingi ni control of blood sugar , before/during/after surgery. All the best
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom