Mphamvu
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 10,702
- 3,285
Ndo nimefungulia radio hapa 0645 MAM, kwa raha zao, bila wasiwasi wala presha, DJ ameweka wimbo wa Brown Eyes wa Destiny's Child, nikajua labda amekosea mara moja, na nyimbo zinazofuata za tartiiib, mwendo wa kinyonga.
Unaweza ukawa hujapata mantiki hapa, ila kwa Jumatatu hii, siku ya kwanza ya juma, asubuhi ya kuingia kuwajibika, wanaweka nyimbo za taratibu, si kuchochea usingizi huku? Sasa hivi unakuja wa Luther Vandross...
Mpangilia vipindi wa Kiss FM fikiria upya kuhusu hili.
Unaweza ukawa hujapata mantiki hapa, ila kwa Jumatatu hii, siku ya kwanza ya juma, asubuhi ya kuingia kuwajibika, wanaweka nyimbo za taratibu, si kuchochea usingizi huku? Sasa hivi unakuja wa Luther Vandross...
Mpangilia vipindi wa Kiss FM fikiria upya kuhusu hili.