Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 55,791
- 90,564
Sasa atafanya tafiti vipi wakati yeye yuko Detroit? anataka watu wawajibike wakati yeye anabofya keybord akiwa Mac Donald wakati wenzake wapo kwenye Battle Field.hiyo ndio mission yake,mkuu ndio maana kashawishi uasi wa wanachama.Atakuja na posting ndeefu sana halafu hana tafiti yoyote inayoweza thibitisha kuwa hizo factors hazikuwa na effect au hata effect zake ni negligible.
Mbaya kasahau kuwa ingekuwa kinyume basi wanachama ndio wangelaumiwa kwa kutopiga kura.