hi kali - ila nachojua mimi ukiwa waziri unakuwa exempted kwenye public services kwamba hutatakiwa kupanga foleni na unatakiwa kupata huduma muda uleule na kuondoka ili uwahi majukumu ya kiserikali ya kufanya.
Kwa hiyo hata kama Ngereja angekaa mule saa nzima anaongea na simu hakuna ubaya, may be alikuwa anaongea na Bosi wake (Rais) kwa hiyo hawezi kum hold bosi wake na lazima akae sehemu kuna privacy. (Hii inafanya kazi kama simu ilikuwa muhimu sana na asingeweza kui hold)
Humu jamvini kuna waandishi wengi,kwa nini wasifuatilie tukio hili na likatoka magazetini ili wananchi wa kawaida ambao hawana muda wa kusoma mtandaoni wakawajua viongozi wao waliowachagua wakoje? Kisa cha Meya wa Moshi kumpiga mlinzi makofi kama kisingetoka magazetini kingeisha kimya kimya lakini kusambaa kwa habari ile kumefanya haki itendeke. Wajibikeni waandishi.
Humu jamvini kuna waandishi wengi,kwa nini wasifuatilie tukio hili na likatoka magazetini ili wananchi wa kawaida ambao hawana muda wa kusoma mtandaoni wakawajua viongozi wao waliowachagua wakoje? Kisa cha Meya wa Moshi kumpiga mlinzi makofi kama kisingetoka magazetini kingeisha kimya kimya lakini kusambaa kwa habari ile kumefanya haki itendeke. Wajibikeni waandishi.
Habari zaidi zinadai kwamba, katika kikao na waajiri wa Mnaku, Ngeleja alisema: "Siwezi kumsamehe (Mnaku) mpaka atakapopewe adhabu kali."
poor ngeleja..tulikuwa tunamfikiria kama anaweza kuwa kati ya kundi la mawaziri vijana ambao mwaka 2015 tutawafikiria kuwaunga mkono......lakini kumbe HAFAI ameshalewa ulevi wa ukubwa ....anatukana wanyonge matusi ya nguoni...,anavunja utaratibu..na kudharau watu ...na zaidi ya yote anangangania MNYONGE afukuzwe kazi.tena bila kosa ..kama adhabu....bila kuhesabu yeye amewatendea watanzania milioni 40 makosa mara ngapi yanayotugharimu kila siku....
kijana ngeleja ya have done a mistake which has just cost you your political future ....tunakuarifu kuwa tumefuta jina lako katika list ya potential runners wa 2015 na milele amina!!!!! forget that post!!!
Ngeleja Huna adabu!!!
Kama ni kweli inabidi waziri aombe radhi hadharani. Kwenye hizo ATM si kunatakiwa kuwa na camera? Obama anajipanga foleni kupata huduma, hawa mawaziri wetu wanaona nini tatizo? Huyu mlinzi akifukuzwa kwa sababu hii basi itakuwa vyema kama wale mawakili wetu wapenda haki watalivalia njuga.
Amandla......
Mkuu,
Ngeleja ni zao la malezi mabaya tu siajabu toka utotoni!!! na ulimbukeni wa ukubwani...
poor ngeleja..tulikuwa tunamfikiria kama anaweza kuwa kati ya kundi la mawaziri vijana ambao mwaka 2015 tutawafikiria kuwaunga mkono......lakini kumbe HAFAI ameshalewa ulevi wa ukubwa ....anatukana wanyonge matusi ya nguoni...,anavunja utaratibu..na kudharau watu ...na zaidi ya yote anangangania MNYONGE afukuzwe kazi.tena bila kosa ..kama adhabu....bila kuhesabu yeye amewatendea watanzania milioni 40 makosa mara ngapi yanayotugharimu kila siku....
kijana ngeleja ya have done a mistake which has just cost you your political future ....tunakuarifu kuwa tumefuta jina lako katika list ya potential runners wa 2015 na milele amina!!!!! forget that post!!!
Ngeleja Huna adabu!!!
Nyie watu vipi?
Kwa nini Waziri amsamehe Mlinzi na si Mlinzi amsamehe Waziri kwa matusi yake?
Wale Mawakili wa haki za binadamu naomba waliingilie kati hili swala. Huyu Waziri ndiyo inatakiwa apandishwe kizimbani kwa kutowa matusi.
Halafu wee unayesema anaweza kukaa hata saa nzima akiongea, kwa nini asingelitoka na apewe chumba pale Bank na aongee hilo saa lake zima. Kwani akirudi si watampisha achukue pesa zake?
Kwa nini mnawafanya hawa watu Miungu watu? Nategemea mwaka huu watu wa Sengerema watafanya kweli na jamaa ATOSWE. Labda Kikwete ashinde tena na amchukue jamaa kama Mbunge wa kuteuliwa. Sasa naamini, matunda ya nchi corrupt ni mabaya saana. Tumeyanunua wenyewe kwa kanga na Tshirt za njano/kijani.
Yero, unaweza kufafanua zaidi hii ya malezi mabaya?
Asante mkuu,ila nilikuwa namaanisha wasishie hapo leo, waandike na kuandika kwa jinsi sakata hilo linavyoendelea ili kumnusuru huyo mlinzi na wengine wanaokumbwa na majanga ya kijinga kama hayoipo kwenye mwananchi ya leo mkuu