Kisa cha Shariff Abdallah Attas na mwalimu Julius Nyerere ofisi ya TANU baada ya uhuru

Mtanganyika ana hasira sana, anaweza hata kuua! Dah
Sineno,
Kaghadhibishwa na kitu gani?

Maana kataka picha nimeweka.
Kataka historia yangu nimeweka.

Kipi kilichomuudhi?
Labda ndugu zanguni Wana Barza muulizeni.

Unajua mie nimesomeshwa mlango wa mnakasha
na Maalim Haruna.

Kanifunza mengi ambayo kwa kweli ndiyo yanayonisaidia
katika kila mjadala hapa.

Kwanza Maalim alikuwa anasema ili kushinda mjadala lazima
ulijue somo lako vizuri.

Kisha akatufunza kuwa adabu ni muhimu.
Usimkejeli mwenzio wala usimtukane.

Akatufunza kuwa ukiona mtu anakuja na lugha si za kiistaarabu,
Maalim akikusudia matusi na vitisho, ujue hamna kitu.

Ukiona hizo dalili basi sitisha mjadala kwani hauna tija.
Mwenye ilm hatukani kamwe wala hatishi watu.

Akisema kuwa madhumuni ya mjadala ni kusomesha na kuongeza
elimu.

Huwezi kusomesha wala kusoma katika matusi na vitisho.
 
Mtanganyika ananikumbusha kisa kimoja, jamaa anaambiwa na wazee kuwa huyu si baba yako mzazi, babako ni fulani. maana mama yako aliolewa na huyu mzee hali ya kuwa wewe umtoto mchanga, jamaa kang'ang'ania hakubali lolote! Kumbe ikaja julikana jamaa alikuwa akiudharau sana ukoo wa yule babake halisi! Kaazi kwelikweli
 
Yaonekana dhahiri kuwa kuna Mengi sana yamefichwa kuhusu historia Ya Tanu na Tanganyika
Najiuliza sana "what's the motive behind this?" Na shindwa kupata jibu sahihi
 
Mzee Mohamed Said ninaamini toka umeanza kufundisha historia hapa Jf umekutana na vichwa vibovu zaid kuliko huyu Mtanganyika katika mijadala yako na umekwenda navyo sawia bila jaziba., hivyo huyu mchukulie kama Mwanafunzi aliefaulu shule ya vipaji maalumu huku akiwa hajui kusoma wala kuandika na ww ndo Mwl wake wa darasa., Mhula wake huwa ni mmoja tu, akienda likizo ya Juni ndo imetoka hyo!!!
Hivyo nenda nae taratibu tu Mkuu...
 
Mzee Mohamed Said ninaamini toka umeanza kufundisha historia hapa Jf umekutana na vichwa vibovu zaid kuliko huyu Mtanganyika katika mijadala yako na umekwenda navyo sawia bila jaziba., hivyo huyu mchukulie kama Mwanafunzi aliefaulu shule ya vipaji maalumu huku akiwa hajui kusoma wala kuandika na ww ndo Mwl wake wa darasa., Mhula wake huwa ni mmoja tu, akienda likizo ya Juni ndo imetoka hyo!!!
Hivyo nenda nae taratibu tu Mkuu...
Nyendeke na Sheriff,
Inaelekea mngependa kusoma mengi katika historia hii.
Kuna, ''The Africa Events Series,'' kama mimi mwenyewe ninavyoziita.

Hizi ni makala nilizoandika na gazeti hilo ambalo kwa sasa halipo tena.
Naweka hapa chini ''link,'' ili muweze kusoma niliyoandika wakati huo:

Mohamed Said: AFRICA EVENTS NA SIASA ZA CCM NA ZANZIBAR 1980s
Mohamed Said: KUTOKA JF: AFRICA EVENTS LILIPOCHAPA KUMBUKUMBU YA ABDUL SYKES 1988
Mohamed Said: KUTOKA JF: AFRICA EVENTS NA HISTORIA YA TANU 1988
 
kama nk watu wa tanga ni wavivu sana wacha watukanwe

duuuuu, nenda kaoneshe ghala la mahindi ya msaada tanga, hizo ni kampeni zenu wala viwavijeshi na siafu. kama zilivyo kwa N.K kuwa ni masikini sana ila wanawekeza kwenye kurusha makombora ya masafa marefu, nyie matajiri mmejazana miji ya watu hamna mnachofanya zaidi ya dhulma.
 
Kikwete ana sifa ya kuwa na uwezo mkubwa sana wa kukumbuka sura za watu. Waliofanya naye kazi wanasema hata kama walikuwa wamefanya naye kazi kwa muda mfupi tu, walishangaa kwamba alikuwa anawakumbuka bado, halafu akikutana na mtu anayemkumbuka ni lazima amfahamishe kwamba anamkumbuka.

Watu wanaghafilika, ikipita miaka kadhaa hujaonana na mtu, unaweza kumsahau hata kama mlikuwa naye karibu, kadiri ya ukaribu wenyewe. Hii inakuwa zaidi kama una shughuli za kukutana na watu wengi sana.
Kiranga, hili nakubaliana na wewe more than 98% hata wazee kule Msoga wanakuambia hili.
 
Mkuu Mohammed Said kwa upeo huu uliotukuka ingefaa uwe visiting professor of african history kwenye medani Ya kimataifa
Naamini ulikuwa very close ma prof Mazrui, Haroub Othman na A M Babu kabla hawajafariki
 
Mkuu Mohammed Said kwa upeo huu uliotukuka ingefaa uwe visiting professor of african history kwenye medani Ya kimataifa
Naamini ulikuwa very close ma prof Mazrui, Haroub Othman na A M Babu kabla hawajafariki
Sheriff...
Hao uliowataja wote ni walimu wangu.
Mimi siwezi hata kuwabebea makubazi yao.

DSCN0096.JPG

Kushoto: Tamim Faraj, Prof. Ali Mazrui na Mwandishi
Kampala 2003


Tuanze na Prof. Mazrui.
Nilimpa jina na kumwita, ''My distant Professor,'' na yeye naamini alilipokea jina hili.

Hili ni jina ambalo nililoandika kwenye kitabu cha Abdul Sykes nilichompelekea
mwaka wa 1998 kilipotoka.

Watu wawili ndiyo walioniunganisha na Mazrui - Balozi Dr. Ramadhani Kitwana
Dau
na Dr. Harith Ghassany.

Kitabu changu nilimkabidhi Dr. Dau na yeye ndiye aliyempa mkononi kitabu hicho.
Prof. Mazrui akaniaandikia kunishukuru.

Baadhi ya maneno aliyoandika ni kuwa nimemfurahisha kwa kuonyesha nini Waswahili
wamefanya Tanganyika.

Ikawa mara moja moja tunaandikiana.

Mwaka wa 2003 kulikuwa na mkutano Kampala ambao Prof. Ali Mazrui alihudhuria na
mimi nilialikwa na niliwasilisha mada.

Dr. Ghassany akanituma nimfikishie salamu zake kwa Prof. Mazrui.
Sote tulikuwa tunakaa Kampala Nile Hilton na nilizifikisha salamu zile.

Prof. Mazrui alifurahi sana kuniona na kupokea salamu za Dr. Ghassany kutoka kwangu.
Prof. Mazrui alikuwa na Dr. Ghassany Michigan.

Prof. Mazrui nilimmaliza nilipomwambia kuwa mimi ni rafiki mkubwa wa Sal Davis.
Mazrui na Sal Davis ni ''ndugu wa ndugu,'' kama mwenyewe Sal anavyopenda kueleza.

Sal Davis alipopelekwa na baba yake, Shariff Salim Abdallah kwenda kusoma Manchester
akiwa na umri wa miaka 17 mwaka wa 1957 alipokelewa na Prof. Mazrui na waliishi nyumba
moja.

Lakini nilimwacha kinywa wazi nilipomweleza kuwa nimefika hadi kijijini kwao Takaungu, nje ya
Mombasa na kuona msikiti wao na kisima cha msikiti ambazo kina takriban miaka 400.

Nilimfahamisha kuwa nina ndugu zangu akina Baamumin katika kijiji cha Mtondia ambao wao
ni ''squatters'' katika ardhi ya akina Mazrui.

Nina mengi ya Prof. Mazrui lakini tuishie hapa.

Prof. Haroub Othman yeye kanisomesha khasa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaam ni mwalimu
wangu kabisa.

Kumbukumbu aliyoniachia Prof. Haroub ni moja, ni siku tulipokutana pembeni ya Msikiti wa
Ibadh na tukazungumza kuhusu kitabu changu ambacho ndiyo kwanza kilikuwa kimewasili
nchini kutoka Uingereza.

Hii ilikuwa mwaka wa 1998.

Mwalimu wangu alikuwa amesawajika.
Alikuwa amesoma katika kitabu cha Abdul Sykes mambo mawili au matatu yaliyomshtua sana.

Hakuwa anayajua kabla.
Kwanza historia ya Abdul Sykes na mchango wa wazalendo wengine katika kuasisi TANU.

Prof. Haroub kama ilivyokuwa kwa walimu wengi wa Chuo Kikuu Cha Dar es Salaa walikuwa
wanaamini kuwa TANU iliasisiwa na Julius Nyerere na siasa za kudai uhuru hazikuwapo kabla
yake.

Pili, mgogoro baina ya Waislam na Nyerere baada ya uhuru na yale niliyoandika kwa urefu kuhusu
kutumika kwa vyombo vya dola dhidi ya masheikh wakati wa mgogoro ule.

Prof. Haroub akanieleza kuwa yeye alikwenda kwa Nyerere kumuona ili amsikilize nini maoni yake
kuhusu yale ambayo mimi niliandika.

Prof. Haroub alimuomba Nyerere aandike na yeye ili dunia isikie na yale ya upande wake.

Alimuomba kuwa amjibu na Ali Muhsin Barwani kwa yale aliyoandika dhidi yake katika kitabu
chake, ''Conflicts and Harmony in Zanzibar,'' (1997).

Ningeliweza kusema mengi kuhusu mwalimu wangu Prof. Haroub Othman lakini na tuishie hapa.

VHGyYMFxfg1Fo8iDvoLJma9iM3FyVdv9NKC10z07KWSo=w415-h553-no

Ahmed Rajab na Mwandishi London 1991

Abdulrahman Babu nilijulishwa kwake London na Ahmed Rajab na siku nzima tulishinda pamoja
Brixton sisi watatu mimi nikijibu maswali yao kuhusu hali ya siasa Tanzania na uongozi wa Ali Hassan
Mwinyi.


Nilizungumza mengi na Babu na nilimuuliza kuhusu yeye kuandika historia ya Mapinduzi ya Zanzibar
ya 1964 na aliniambia kuwa ataandika In Shaallah.

Babu hakuandika historia ile kwa sababu ambazo nilikuja kuzijua baada ya miaka kumi takriban.

Hawa wote, Prof. Mazrui, Prof. Haroub Othman na Prof. Abdulrahman Babu, ni walimu wangu
na ni miamba ambayo kwa kweli mie ni kichuguu mbele yao.

Ingia hapo chini kwa picha zaidi:
Mohamed Said: KUTOKA JF: PROF. ALI MAZRUI, PROF. HAROUB OTHMAN NA PROF. ABDULRAHMAN BABU
 
Uliwahi kukutana na akina John Sivallone, Walter Rodney, Issa Shivji na Max Mmuya pale udsm?
Wewe ni hazina kubwa kwenye historia Ya nchi hii.
Ni kwanini usiandike features kwenye majarifda kama afanyavyo Juma Mwapachu na wengineo?
 
Uliwahi kukutana na akina John Sivallone, Walter Rodney, Issa Shivji na Max Mmuya pale udsm?
Wewe ni hazina kubwa kwenye historia Ya nchi hii.
Ni kwanini usiandike features kwenye majarifda kama afanyavyo Juma Mwapachu na wengineo?
Sherrif...
Mimi ni mtu mdogo sana mbele ya miamba hiyo.
Siwezi hata kutamani kuwa kama wao.

Katika hao uliowataja nafahamiana na Prof. Shivji.

CBmB24fnxlfhJ7DpdCD6nN5SlVdJXHE0kmHsq6j276NdnKx0UuX4B3ZmD0mQEmOdzfbig-C6Hgjk1rGj3b5RiPh9UfXIiVgL1bHYu6RaboKZuNV8JAqKv_-_lifGo_CPwi-ntlKHDpKiatIMHrVDQqnDrEd0WOyt644Nnhsse5wHMFDLdTPQL3l21hZJcDpUbFlgJQK_rPT44YyQ30UxRnGZ58foHLnvxbuPo5DSosJ61oGnbJLJec5N5XXl3q53W6F47fzk_aKcx8MQQri1iiDGlueWtNDdhksyPQs1Wzfe2KSiGDQYsjeZziGd0y4j4c0_BeXou51IAuk50UokWQdXDdeM8oMFbSowC8V-BJvej9K1bGQiLBMvzwvWHny0RydPYOKUEQpc6K5O-0NKKpHzNf9GXlOikz4Fb6gMEYGi85WY-aHwwUrUOuz2gotk2KkohN0ecfUb_5k7y_6P5n_XpnRsRlGSaNeKfiZoJ8FsI_Hnyxzb0kpTcpG2vnp-Xh5KPlEOy_rhZ5d0n0Xd9KuYq_7EXbuvQxZzqpJldkYd_et0Q9vXzWOo3MxUhkjpDOTOPQvLR4r6T_ZAxYoUc8pp-8cQFotXJlwlz3Gqsb2OG5NE=w800-h534-no

Prof. Shivji Prof. Saida Othman na Mwandishi
 
If you don't mind me asking .......What's your view on Lipumba's intention to rejoin CUF as mwenyekiti?
Sheriff,
It is puzzling and that is why it is difficult for me to make any comment.

Sakata la Prof. lilipoanza majuma machache yaliyopita nilibandika post
hiyo hapo chini ambayo nadhani ukiimaliza kusoma utaona uzito wa mzigo
ulionibebesha kwa swali lako:

KIMEMSIBU NINI PROF. IBRAHIM HARUNA LIPUMBA?
20151025_144404.jpg

Utangulizi

Prof. Ibrahim Lipumba ni msomi wa kutajika katika kundi kubwa lolote la wasomi popote pale duniani. Prof. Lipumba aliingia katika siasa mwaka wa 1995 si kwa mapenzi yake bali kwa kuchagizwa na marafiki zake kufuatia kifo cha ghafla cha Prof. Kighoma Malima. Mwaka wa 1995 aligombea urais kwa tiketi ya CUF na kuanzia hapo aliweza kuijenga CUF kufikia kuwa chama chenye nguvu. Lakini kubwa katika historia ya vyama vya siasa Tanzania ni kule CUF Bara kutia nguvu kubwa katika siasa za visiwani na kuifanya CUF chama pekee katika vyama vya upinzani ukiondoa CCM, chenye wafuasi wengi Tanzania Visiwani na Tanzania Bara. Hakuna chama chochote Bara ambacho kimeweza kutimiza hili. Katika haya yote mchango wa Prof. Lipumba ulikuwa mkubwa sana usio na kifani. Kimetokea nini leo Prof. Lipumba aliyekuwa kipenzi cha wengi ghafla amepoteza yote aliyokuwa ananasibishwa nayo?

2016%2B-%2B1

Kushoto: Mohamed Omar Mkwawa, Juma Duni Haji na Prof. Lipumba Tanga 1995
Picha hii ilipigwa nyumbani kwa mwanamama shupavu wa CUF marehemu Mama
Ummie Biti Anzuani


2016%2B-%2B1

Mh Fatma Ferej Mwenyekiti wa Jumuia ya Wanawake wa CUF
Taifa (JUKE-CUF) akipiga kura


2016%2B-%2B1

Prof. Lipumba akiwa amezungukwa na walinzi kwenye Mkutano Mkuu wa
CUF



2016%2B-%2B1

Prof. Lipumba kutoka katika mkeka wa Mama Ummie Biti Anzuani hadi
kwenye ukumbi wa kifahari, walinzi na viti vilivyovunjika kwa mapigano

2016%2B-%2B1

Mkutano Mkuu Maalum wa CUF ukirushwa mubashara katika
stream Mwandishi alifuatilia mkutano kutoka nyumbani

DSCN0722.JPG

Prof. Lipumba akihutubia katika ushindi wa Serikali za Mitaa Kata ya Mzimuni
Magomeni


4DCeDKu7Q3Y4xhk6C8pLAFlYgpSzaJq_Eo_3dvgOum8eJV7VXnbxXnXsY99YbPvim4bQ66MUVANyhM8zMJNSNh45yKAWpb2ygYLkFicztObvbR2VpkLPrRxGfdrCTLQB2wnDHo9TrYoiFD5zalRTddYgMP_0lCWhUHJtkqf4ZxEQxJPofF9CDBsNgIaizg0WWMF5FrZEC-ntN5teE-D-jtX2w3Eowrh2TNBVu80dnzeqImEppm4BofVYLzGNXFzETauVRETl4QD-F4LijD0vrpn-FESudsaGlX-AdAGSvMCls2LN5LcohgtoY3ZGeltQKfybwTliyOFFaWq3UKJMrMT4u00tHaz0QHQTGacA71UEgjd6tZhdGDBE4ghMqNhch2cQzPj40vxEb1f2E4GFoGo6M9VNkXh-IBwP2sAdtBcyoExisgnyCE8IyRCqOhSFwM1OF0QFr0uWTNeuuq79pE98T3oMATXTijgebEfZtVpPIH58EjWl5pnjD7b7fHMeuOeYNJpvace31twHzfJNUTcUWyeml5Mp5elRuqISP-7JEbJXwpB9UD0c81v6pGeeTTT5nT3pnw1Etqm0YotGQN9K0olqns60=w640-h480-no

Prof. Lipumba akiwa nyumbani kwa Mwandishi miezi michache
kabla hajajiuzulu uwenyekiti wa CUF

tXjP1VfSmNHcsYrOGSirt3qFZXBT0Zn1Q9VQG9Yx2AOuo43An4El2UmLoFVfk3QsXa11l1oonM2Qn4bVtqeETAK9Ra_EaWAsnyKkg-yML9CWRS-VAtDlNbuIx0lC9wXuZ0Y54cuVyVflimQ39-a-AaTvORYf_97kaej3Xwfbsc207r8PsoQ32XNPh0W3ZyFrHoTm-uwRbyGA4klVF0wZUjlhzb0Qx59kZrMCxrYqbcSJtK-2wj5MJoKvd1l0-roKUpENbxP6SsrRENSLI5rLehuKEpjOqTn2u0RPBFSrub8h4tcQDJR80bC6E-RJbcfq7VWLM5eVG4FAKod-MV6IaQ6v5GKPiJytz8zPorMJtKPHOUlZ087-L_5BbSQGobbrrnlkcNjrpDH6Y-GEPj3mxAyNvvqPXhoJwX-tQHVNsAoe9zptfAa9xfs1le0uArKoekRv7kRazYcNvxmtEGTr2y8CDTDH5yBjHUsEtcm60C868MT8ILpoMyQ2vJn44GsS8_wxcrG_HSX-ob3dx_p6pULtVrtPuxXK57RORBDZrM3CX-MPx6YofvV4Aa5-EB5s6rxR8DIFQ5r3d8IIaxurEMW8jYfZc-GG=w480-h320-no

Abbas Sykes na Prof. Lipumba kwenye walima wa harusi ya huyo mtoto
aliyemkumbatia katika picha hiyo hapo chini Faraj Mohamed mwaka wa 1995


wVyzCrLoj8JLpExSLm8b6CCPqpUcb_6u0dECXWTeEWdYnnD_Mktxn50UJaRf9fZbx28vFeMVlKieP_bIFor3KQA2Yh0Rne2aYXAvJX201s6cizT3nJDNdL4QAiBwtmVq2iOdWpGAiOfgttRbt9SjhS819JBkqV0s_7OSRcLV76RcEUkxJ6H8tSO7j5tpda30Rc7aajWDyMrdHSO68rzma4p80daqGe0YifXgrNnkNEY3mraxPQlFve26S7Uhlj3-0Hc7SXC0-jc53oX5BOr0Rv-CBvnMSEvVKHUNLbtWttYtlcuhbrzivkhL_jMi26YM7lRck0qVwSLWO_7a53SQD4i4c3CsYQYSur0qZIEL1BgOJW5VXhBqe_zKP5UO1o8H2qb4r37ARear8Ra_k9YbnCmeiwZJTJNxa05J5NDTM2QsGODGx1pDQoF9Jd9e0hzJLRUMuwAN0ySE9iRoDqMF2h8XZGmVqCeo1rg97GSRGhsPQIH0LZ2Yul_wx7tQc_Q4TVuJ2uZwG7yoWe4GhSjEc-15DNSy7_nEOoJ74iDn6vFEihcqHuuFOoVmDBZljJqoS6prLpdi81YOqnHsRa6I_srcIqGZcEtH=w674-h657-no

Kulia: Prof. Lipumba, Faraj Mohamed, Tamim Faraj, na
waliosimma ni Mwandishi na Juma Kilaghai ambae alikuja kuwa
msaidizi wa Prof. Lipumba.
Picha ilipigwa nyumbani kwa Mwandishi 1995

20151025_144248.jpg

Mwandishi akiwa katika timu ya Prof. Lipumba katika Uchaguzi wa 1995 hapa ni Korogwe
katika mkutano wa hadhara

Ingia hapo chini kwa kuangalia picha:
Mohamed Said: KIMEMSIBU NINI PROF. IBRAHIM HARUNA LIPUMBA?

Mohamed Said: PROF. IBRAHIM HARUNA LIPUMBA NA JUMA DUNI HAJI UCHAGUZI WA 1995
 
Sheriff,
It is puzzling and that is why it is difficult for me to make any comment.

Sakata la Prof. lilipoanza majuma machache yaliyopita nilipandika post
hiyo hapo chini ambayo nadhani ukiimaliza kusoma utaona uzito wa mzigo
ulionibebesha kwa swali lako:

KIMEMSIBU NINI PROF. IBRAHIM HARUNA LIPUMBA?
20151025_144404.jpg

Utangulizi

Prof. Ibrahim Lipumba ni msomi wa kutajika katika kundi kubwa lolote la wasomi popote pale duniani. Prof. Lipumba aliingia katika siasa mwaka wa 1995 si kwa mapenzi yake bali kwa kuchagizwa na marafiki zake kufuatia kifo cha ghafla cha Prof. Kighoma Malima. Mwaka wa 1995 aligombea urais kwa tiketi ya CUF na kuanzia hapo aliweza kuijenga CUF kufikia kuwa chama chenye nguvu. Lakini kubwa katika historia ya vyama vya siasa Tanzania ni kule CUF Bara kutia nguvu kubwa katika siasa za visiwani na kuifanya CUF chama pekee katika vyama vya upinzani ukiondoa CCM, chenye wafuasi wengi Tanzania Visiwani na Tanzania Bara. Hakuna chama chochote Bara ambacho kimeweza kutimiza hili. Katika haya yote mchango wa Prof. Lipumba ulikuwa mkubwa sana usio na kifani. Kimetokea nini leo Prof. Lipumba aliyekuwa kipenzi cha wengi ghafla amepoteza yote aliyokuwa ananasibishwa nayo?

2016%2B-%2B1

Kushoto: Mohamed Omar Mkwawa, Juma Duni Haji na Prof. Lipumba Tanga 1995
Picha hii ilipigwa nyumbani kwa mwanamama shupavu wa CUF marehemu Mama
Ummie Biti Anzuani


2016%2B-%2B1

Mh Fatma Ferej Mwenyekiti wa Jumuia ya Wanawake wa CUF
Taifa (JUKE-CUF) akipiga kura


2016%2B-%2B1

Prof. Lipumba akiwa amezungukwa na walinzi kwenye Mkutano Mkuu wa
CUF



2016%2B-%2B1

Prof. Lipumba kutoka katika mkeka wa Mama Ummie Biti Anzuani hadi
kwenye ukumbi wa kifahari, walinzi na viti vilivyovunjika kwa mapigano

2016%2B-%2B1

Mkutano Mkuu Maalum wa CUF ukirushwa mubashara katika
stream Mwandishi alifuatilia mkutano kutoka nyumbani

DSCN0722.JPG

Prof. Lipumba akihutubia katika ushindi wa Serikali za Mitaa Kata ya Mzimuni
Magomeni


4DCeDKu7Q3Y4xhk6C8pLAFlYgpSzaJq_Eo_3dvgOum8eJV7VXnbxXnXsY99YbPvim4bQ66MUVANyhM8zMJNSNh45yKAWpb2ygYLkFicztObvbR2VpkLPrRxGfdrCTLQB2wnDHo9TrYoiFD5zalRTddYgMP_0lCWhUHJtkqf4ZxEQxJPofF9CDBsNgIaizg0WWMF5FrZEC-ntN5teE-D-jtX2w3Eowrh2TNBVu80dnzeqImEppm4BofVYLzGNXFzETauVRETl4QD-F4LijD0vrpn-FESudsaGlX-AdAGSvMCls2LN5LcohgtoY3ZGeltQKfybwTliyOFFaWq3UKJMrMT4u00tHaz0QHQTGacA71UEgjd6tZhdGDBE4ghMqNhch2cQzPj40vxEb1f2E4GFoGo6M9VNkXh-IBwP2sAdtBcyoExisgnyCE8IyRCqOhSFwM1OF0QFr0uWTNeuuq79pE98T3oMATXTijgebEfZtVpPIH58EjWl5pnjD7b7fHMeuOeYNJpvace31twHzfJNUTcUWyeml5Mp5elRuqISP-7JEbJXwpB9UD0c81v6pGeeTTT5nT3pnw1Etqm0YotGQN9K0olqns60=w640-h480-no

Prof. Lipumba akiwa nyumbani kwa Mwandishi miezi michache
kabla hajajiuzulu uwenyekiti wa CUF

tXjP1VfSmNHcsYrOGSirt3qFZXBT0Zn1Q9VQG9Yx2AOuo43An4El2UmLoFVfk3QsXa11l1oonM2Qn4bVtqeETAK9Ra_EaWAsnyKkg-yML9CWRS-VAtDlNbuIx0lC9wXuZ0Y54cuVyVflimQ39-a-AaTvORYf_97kaej3Xwfbsc207r8PsoQ32XNPh0W3ZyFrHoTm-uwRbyGA4klVF0wZUjlhzb0Qx59kZrMCxrYqbcSJtK-2wj5MJoKvd1l0-roKUpENbxP6SsrRENSLI5rLehuKEpjOqTn2u0RPBFSrub8h4tcQDJR80bC6E-RJbcfq7VWLM5eVG4FAKod-MV6IaQ6v5GKPiJytz8zPorMJtKPHOUlZ087-L_5BbSQGobbrrnlkcNjrpDH6Y-GEPj3mxAyNvvqPXhoJwX-tQHVNsAoe9zptfAa9xfs1le0uArKoekRv7kRazYcNvxmtEGTr2y8CDTDH5yBjHUsEtcm60C868MT8ILpoMyQ2vJn44GsS8_wxcrG_HSX-ob3dx_p6pULtVrtPuxXK57RORBDZrM3CX-MPx6YofvV4Aa5-EB5s6rxR8DIFQ5r3d8IIaxurEMW8jYfZc-GG=w480-h320-no

Abbas Sykes na Prof. Lipumba kwenye walima wa harusi ya huyo mtoto
aliyemkumbatia katika picha hiyo hapo chini Faraj Mohamed mwaka wa 2013


wVyzCrLoj8JLpExSLm8b6CCPqpUcb_6u0dECXWTeEWdYnnD_Mktxn50UJaRf9fZbx28vFeMVlKieP_bIFor3KQA2Yh0Rne2aYXAvJX201s6cizT3nJDNdL4QAiBwtmVq2iOdWpGAiOfgttRbt9SjhS819JBkqV0s_7OSRcLV76RcEUkxJ6H8tSO7j5tpda30Rc7aajWDyMrdHSO68rzma4p80daqGe0YifXgrNnkNEY3mraxPQlFve26S7Uhlj3-0Hc7SXC0-jc53oX5BOr0Rv-CBvnMSEvVKHUNLbtWttYtlcuhbrzivkhL_jMi26YM7lRck0qVwSLWO_7a53SQD4i4c3CsYQYSur0qZIEL1BgOJW5VXhBqe_zKP5UO1o8H2qb4r37ARear8Ra_k9YbnCmeiwZJTJNxa05J5NDTM2QsGODGx1pDQoF9Jd9e0hzJLRUMuwAN0ySE9iRoDqMF2h8XZGmVqCeo1rg97GSRGhsPQIH0LZ2Yul_wx7tQc_Q4TVuJ2uZwG7yoWe4GhSjEc-15DNSy7_nEOoJ74iDn6vFEihcqHuuFOoVmDBZljJqoS6prLpdi81YOqnHsRa6I_srcIqGZcEtH=w674-h657-no

Kulia: Prof. Lipumba, Faraj Mohamed, Tamim Faraj, na
waliosimma niMwandishi na Juma Kilaghai ambae alikuja kuwa
msaidizi wa Prof. Lipumba.
Picha ilipigwa nyumbani kwa Mwandishi 1995

20151025_144248.jpg

Mwandishi akiwa katika timu ya Prof. Lipumba katika Uchaguzi wa 1995 hapa ni Korogwe
katika mkutano wa hadhara

Ingia hapo chini kwa kuangalia picha:
Mohamed Said: KIMEMSIBU NINI PROF. IBRAHIM HARUNA LIPUMBA?

Mohamed Said: PROF. IBRAHIM HARUNA LIPUMBA NA JUMA DUNI HAJI UCHAGUZI WA 1995
Mzee Ms yaani usijue yaliyomsibu swahiba wako?!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom