Amenyanyasa sana ndugu zangu huyu ***** zake....akafikiri wote wakuja
mkuu unanyongo kweli yaani mtu akumwangie chai kama haitoshi amtwange dada yako na matusi juu halfu nimchekee tena anabahati ningekuwa mimi pengine ningekuwa na mada kesi maana kuvunja mguu peke yake haitoshi hata sisi tuna wake hutufanyi u**** huu..
mtu anapokufanyia mabaya wewe ukamtendea wema ni namna nzuri ya kumfanya abadilike. Jamaa amekosea sana na hata huyo shemeji yake nae ana makosa. Nashangaa watu mnavyompigia makofi.Husn'
Wakati mwingine inabidi tu ulipe ubaya, the remedy of fire is fire!
Sasa mbona wewe umemvunja mguu na mkono pamoja na ubabe wake? Swali la msingi dada yako anafanya kazi gani, maana kuna dalili kuwa ni mama wa nyumbani na huyo jamaa kwa kukosa hekima anamtesa akiamini hana pa kwenda zaidi ya hapo. Kuhusu kikao, na mahakamani sema mimi nilikuwa nakunywa chai lakini yeye alianza kunitukana na mimi nika provoke ndiyo nikamvunja miguu huyo jamaa! Kisheria provocation ipo na mazingira hayo yanasupport.alisharipoti hadi polisi bt jamaa anajulikana kwa ukorofi wake eti hadi polisi wanamgwaya ukimshtaki hachukui hata dakika kumi ndani naskia watu wanamwogopa sana eti kisa alishauaga mtu kipindi cha nyuma....dada alikua hata akitoroka kurudi hom anafatwa hata usiku wa manane na ole wake atakaemzuia...
hebu sasa angalia jamaa anavyohaha. Tuwe makini na namna tunavyoreact hasa tunapokuwa na hasira.
nilikuwa nataraji watu wamshauri kama wewe na sio kumpa sifa za kijinga.sema mimi nilikuwa nakunywa chai lakini yeye alianza kunitukana na mimi nika provoke ndiyo nikamvunja miguu huyo jamaa! Kisheria provocation ipo na mazingira hayo yanasupport.
hebu sasa angalia jamaa anavyohaha. Tuwe makini na namna tunavyoreact hasa tunapokuwa na hasira.
sijahaha mkuu na tena wala sijutii uamuzi wangu na tena akileta use..n..ge nasirimba tena
mimi sioni kama anahaha..hebu niambie ungekuwa ni wewe ungemfanya nini huyo jamaa..
Kuna dada etu kaolewa dom lakini tangu kaolewa miaka 3 iliyopita amekuwa akichezea kichapo sana tokakwa mumewe ambaye ni mlevi na mkorofi sana ameshamvunja mkono dada mara mbili kwa kipigo..nipo dom kwa mapumziko na nilienda kumtembelea dadangu ambae ana p.o.p mkono wakushoto kwa kipigo cha mumewe nilipo muuliza ni kwa nini iwe hivo na ndugu wanasemaje akasema ndugu washachoka kuamua mana wakati mwingine nao huambulia vitisho kama si kipigo toka kwa njemba hiyo...mbaya zaidi jamaa amegoma hata kutoa talaka...sasa wakati tukizungumza na dada mara shem kaingia na kuanza na kejeli na dharau zake kwangu eti tunamfatilia sana na maisha yake n mke wake mara ooh ntaoa uko mzima nilipomwambia ajiheshimu ndo kama kapata sababu nilikua nakunywa chai akachukua ile chai na kunimwagia na maneoo kibao ya kashfa dada kuona vile akaingilia kati maskini kunitetea dah! Alisukumwa na kukanyagwa vibaya aisee nilipata hasira mbaya nilichomfanya huyo jamaa sasa hivi yupo moi nilivunja mguu na mkono....sasa kimbembe kimekuja ndugu wa huyo ***** na wangu kuna bifu kubwa na kibaya zaidi baadhi ya ndugu upande wangu wanaunga mkono upande wa pili eti kwa nini naingilia ndoa za watu...kesi iko polisi na kesho kuna kikao hapa hom kizito....hebu nambieni waungwana nisimamie wapi' na je nilichokifanya ni kosa?[/QUOT
Yaani kaka umeniudhi sana kupita kiasi. Huyo mwehu mshenzi wa tabia, umemgusagusa tu, ulitakiwa uvunje mikono yote miwili na umng'oe na meno kama matano hivi ili iwe alama ya maisha.
Huyo umempiga kilokole sana aisee. Hao ndugu za mume wote wapumbavu, tena ingekuwa mimi hata hicho kikao nisingehudhulia hiyo kesho. Mwambie dadako achape lapa hayo mambo ya kusubiri talaka yalishapitwa na wakati.
Sasa mbona wewe umemvunja mguu na mkono pamoja na ubabe wake? Swali la msingi dada yako anafanya kazi gani, maana kuna dalili kuwa ni mama wa nyumbani na huyo jamaa kwa kukosa hekima anamtesa akiamini hana pa kwenda zaidi ya hapo. Kuhusu kikao, na mahakamani sema mimi nilikuwa nakunywa chai lakini yeye alianza kunitukana na mimi nika provoke ndiyo nikamvunja miguu huyo jamaa! Kisheria provocation ipo na mazingira hayo yanasupport.
hebu sasa angalia jamaa anavyohaha. Tuwe makini na namna tunavyoreact hasa tunapokuwa na hasira.
Wewe uliendaje kuzungumzia maisha ya dadako na mumewe nyumbani kwao? Kwa nini usingemwita pembeni dadako?
Huoni umeongeza moto kwa sister? Jamaa anaweza kukuzilia huyo dadako akiona anaingiliwa katika ndoa yake!!.
Katika hilo hata kesi ikienda mbele (mahakamani) lazima shahdi yako atakuwa dadako, jamaa hapo anaweza kumwacha kabisa.
Maoni:
Next time unaweza kuhatarisha maisha yako kwa kwenda kuzua ugomvi nyumbani kwa shemeji yako. Hata kama jamaa ni mkorofi (japo kugombna ni kawaida kwenye ndoa) muite shemeji yako akiwa na ndugu wengine ili aulizwe kwa nini anamtesa ndugu yenu> kama dada anapigwa mpaka kuvunjwa mkono lakini yupo bado kwenye ndoa wewe huwezi kujua kwa nini hataki kutoka hivyo wewe huwe mpole tu ndio ndoa yake hiyo maumivu yake yasikufanye ufikirie kuwatenganisha< wanapendana hao!!!
Wewe uliendaje kuzungumzia maisha ya dadako na mumewe nyumbani kwao? Kwa nini usingemwita pembeni dadako?
Huoni umeongeza moto kwa sister? Jamaa anaweza kukuzilia huyo dadako akiona anaingiliwa katika ndoa yake!!.
Katika hilo hata kesi ikienda mbele (mahakamani) lazima shahdi yako atakuwa dadako, jamaa hapo anaweza kumwacha kabisa.
Maoni:
Next time unaweza kuhatarisha maisha yako kwa kwenda kuzua ugomvi nyumbani kwa shemeji yako. Hata kama jamaa ni mkorofi (japo kugombna ni kawaida kwenye ndoa) muite shemeji yako akiwa na ndugu wengine ili aulizwe kwa nini anamtesa ndugu yenu> kama dada anapigwa mpaka kuvunjwa mkono lakini yupo bado kwenye ndoa wewe huwezi kujua kwa nini hataki kutoka hivyo wewe huwe mpole tu ndio ndoa yake hiyo maumivu yake yasikufanye ufikirie kuwatenganisha< wanapendana hao!!!