Kipondo havi kwa shemeji....

Hahahahaaa hio adhabu haitoshi Mpwa ulitakiwa um-disable hio biology yake kabisa tuone kama angekua kidume tena! Ntakuambia next time jinsi ya kui-disable hata kwa mwezi tu! Lazima aje akupigie magoti tena kwa machozi umrudishie nguvu kidogo!
 
Amenyanyasa sana ndugu zangu huyu ***** zake....akafikiri wote wakuja

ninachoweza kukushauri waamzi wa kuachana na huyo jamaa mwachie dada yako lakini wamzi ulioufanya wa kumpa kichapo nakuunga mkono kwa zaidi ya asilimia mia na ninaamini hatakama wataendelea kuishi na dada yako hata mpiga tena kijingajinga...kwenye kikao waambie kama akirudia kumpiga dada yako mpaka mkumvuja hata kucha utamwibukia akiona vipi atoe hiyo talaka..
 
mkuu unanyongo kweli yaani mtu akumwangie chai kama haitoshi amtwange dada yako na matusi juu halfu nimchekee tena anabahati ningekuwa mimi pengine ningekuwa na mada kesi maana kuvunja mguu peke yake haitoshi hata sisi tuna wake hutufanyi u**** huu..

hebu sasa angalia jamaa anavyohaha. Tuwe makini na namna tunavyoreact hasa tunapokuwa na hasira.
 
Husn'
Wakati mwingine inabidi tu ulipe ubaya, the remedy of fire is fire!
mtu anapokufanyia mabaya wewe ukamtendea wema ni namna nzuri ya kumfanya abadilike. Jamaa amekosea sana na hata huyo shemeji yake nae ana makosa. Nashangaa watu mnavyompigia makofi.
 
alisharipoti hadi polisi bt jamaa anajulikana kwa ukorofi wake eti hadi polisi wanamgwaya ukimshtaki hachukui hata dakika kumi ndani naskia watu wanamwogopa sana eti kisa alishauaga mtu kipindi cha nyuma....dada alikua hata akitoroka kurudi hom anafatwa hata usiku wa manane na ole wake atakaemzuia...
Sasa mbona wewe umemvunja mguu na mkono pamoja na ubabe wake? Swali la msingi dada yako anafanya kazi gani, maana kuna dalili kuwa ni mama wa nyumbani na huyo jamaa kwa kukosa hekima anamtesa akiamini hana pa kwenda zaidi ya hapo. Kuhusu kikao, na mahakamani sema mimi nilikuwa nakunywa chai lakini yeye alianza kunitukana na mimi nika provoke ndiyo nikamvunja miguu huyo jamaa! Kisheria provocation ipo na mazingira hayo yanasupport.
 
Alipo nimwagia chai sikuona kitu sana kwa kuwa yupo kwake ila alipomsukuma sista n akumkanyaga kinyama tena uleule mkono wenye p.o.p ndo nilipoona huyu jamaa ni mnyama sikuwahi kuwa na hasira zile toka udogo wangu.....sasa jamaa akajua ndo walewale wa bush wakuonea...sijutii uamuzi wangu hata kidogo na kamwe sirudi nyuma ktk hilo....
 
Wewe uliendaje kuzungumzia maisha ya dadako na mumewe nyumbani kwao? Kwa nini usingemwita pembeni dadako?
Huoni umeongeza moto kwa sister? Jamaa anaweza kukuzilia huyo dadako akiona anaingiliwa katika ndoa yake!!.

Katika hilo hata kesi ikienda mbele (mahakamani) lazima shahdi yako atakuwa dadako, jamaa hapo anaweza kumwacha kabisa.

Maoni:
Next time unaweza kuhatarisha maisha yako kwa kwenda kuzua ugomvi nyumbani kwa shemeji yako. Hata kama jamaa ni mkorofi (japo kugombna ni kawaida kwenye ndoa) muite shemeji yako akiwa na ndugu wengine ili aulizwe kwa nini anamtesa ndugu yenu> kama dada anapigwa mpaka kuvunjwa mkono lakini yupo bado kwenye ndoa wewe huwezi kujua kwa nini hataki kutoka hivyo wewe huwe mpole tu ndio ndoa yake hiyo maumivu yake yasikufanye ufikirie kuwatenganisha< wanapendana hao!!!
 
sema mimi nilikuwa nakunywa chai lakini yeye alianza kunitukana na mimi nika provoke ndiyo nikamvunja miguu huyo jamaa! Kisheria provocation ipo na mazingira hayo yanasupport.
nilikuwa nataraji watu wamshauri kama wewe na sio kumpa sifa za kijinga.

Ubarikiwe.
 
mimi sioni kama anahaha..hebu niambie ungekuwa ni wewe ungemfanya nini huyo jamaa..

kama ni mimi kwa miaka yote mitatu hiyo ningekuwa nishamchukua sist na kumtafutia cha kufanya. Nakubaliana na mzee wa rula aliyesema inawezekana huyo dada ni mama wa nyumbani na ndio maana amekuwa mzito kufanya maamuzi ya kusepa.
 
Kuna dada etu kaolewa dom lakini tangu kaolewa miaka 3 iliyopita amekuwa akichezea kichapo sana tokakwa mumewe ambaye ni mlevi na mkorofi sana ameshamvunja mkono dada mara mbili kwa kipigo..nipo dom kwa mapumziko na nilienda kumtembelea dadangu ambae ana p.o.p mkono wakushoto kwa kipigo cha mumewe nilipo muuliza ni kwa nini iwe hivo na ndugu wanasemaje akasema ndugu washachoka kuamua mana wakati mwingine nao huambulia vitisho kama si kipigo toka kwa njemba hiyo...mbaya zaidi jamaa amegoma hata kutoa talaka...sasa wakati tukizungumza na dada mara shem kaingia na kuanza na kejeli na dharau zake kwangu eti tunamfatilia sana na maisha yake n mke wake mara ooh ntaoa uko mzima nilipomwambia ajiheshimu ndo kama kapata sababu nilikua nakunywa chai akachukua ile chai na kunimwagia na maneoo kibao ya kashfa dada kuona vile akaingilia kati maskini kunitetea dah! Alisukumwa na kukanyagwa vibaya aisee nilipata hasira mbaya nilichomfanya huyo jamaa sasa hivi yupo moi nilivunja mguu na mkono....sasa kimbembe kimekuja ndugu wa huyo ***** na wangu kuna bifu kubwa na kibaya zaidi baadhi ya ndugu upande wangu wanaunga mkono upande wa pili eti kwa nini naingilia ndoa za watu...kesi iko polisi na kesho kuna kikao hapa hom kizito....hebu nambieni waungwana nisimamie wapi' na je nilichokifanya ni kosa?[/QUOT

Yaani kaka umeniudhi sana kupita kiasi. Huyo mwehu mshenzi wa tabia, umemgusagusa tu, ulitakiwa uvunje mikono yote miwili na umng'oe na meno kama matano hivi ili iwe alama ya maisha.
Huyo umempiga kilokole sana aisee. Hao ndugu za mume wote wapumbavu, tena ingekuwa mimi hata hicho kikao nisingehudhulia hiyo kesho. Mwambie dadako achape lapa hayo mambo ya kusubiri talaka yalishapitwa na wakati.
 
Sasa mbona wewe umemvunja mguu na mkono pamoja na ubabe wake? Swali la msingi dada yako anafanya kazi gani, maana kuna dalili kuwa ni mama wa nyumbani na huyo jamaa kwa kukosa hekima anamtesa akiamini hana pa kwenda zaidi ya hapo. Kuhusu kikao, na mahakamani sema mimi nilikuwa nakunywa chai lakini yeye alianza kunitukana na mimi nika provoke ndiyo nikamvunja miguu huyo jamaa! Kisheria provocation ipo na mazingira hayo yanasupport.

ubabe ni wakwake na hao ma******* wanaomuogopa asilete ubabe wake kwa dadangu bana pia ni kweli dada ni mama wa nyumbani tu kwa sasa ndo mana hata biashara jamaa hataki afanye
 
Wewe uliendaje kuzungumzia maisha ya dadako na mumewe nyumbani kwao? Kwa nini usingemwita pembeni dadako?
Huoni umeongeza moto kwa sister? Jamaa anaweza kukuzilia huyo dadako akiona anaingiliwa katika ndoa yake!!.

Katika hilo hata kesi ikienda mbele (mahakamani) lazima shahdi yako atakuwa dadako, jamaa hapo anaweza kumwacha kabisa.

Maoni:
Next time unaweza kuhatarisha maisha yako kwa kwenda kuzua ugomvi nyumbani kwa shemeji yako. Hata kama jamaa ni mkorofi (japo kugombna ni kawaida kwenye ndoa) muite shemeji yako akiwa na ndugu wengine ili aulizwe kwa nini anamtesa ndugu yenu> kama dada anapigwa mpaka kuvunjwa mkono lakini yupo bado kwenye ndoa wewe huwezi kujua kwa nini hataki kutoka hivyo wewe huwe mpole tu ndio ndoa yake hiyo maumivu yake yasikufanye ufikirie kuwatenganisha< wanapendana hao!!!

mkuu mm nilienda kumsalimia kwa kuwa tuna muda mrefu hatujaonana
 
mkuu kwenye kikao nenda ukiwa umekamilika ukiona ndugu analeta za kuleta mpekitu inauma yaani lazi uwaonyeshe kuwa dada yako nae ni binadamu kama huyo ndugu yao ambae amekuwa akimpiga dada yako na hawakuitisha hivyo vikao lakini kama unaongopa shari zaidi ni bora usiende kabisa kwenye hicho kikao..
 
Wewe uliendaje kuzungumzia maisha ya dadako na mumewe nyumbani kwao? Kwa nini usingemwita pembeni dadako?
Huoni umeongeza moto kwa sister? Jamaa anaweza kukuzilia huyo dadako akiona anaingiliwa katika ndoa yake!!.

Katika hilo hata kesi ikienda mbele (mahakamani) lazima shahdi yako atakuwa dadako, jamaa hapo anaweza kumwacha kabisa.

Maoni:
Next time unaweza kuhatarisha maisha yako kwa kwenda kuzua ugomvi nyumbani kwa shemeji yako. Hata kama jamaa ni mkorofi (japo kugombna ni kawaida kwenye ndoa) muite shemeji yako akiwa na ndugu wengine ili aulizwe kwa nini anamtesa ndugu yenu> kama dada anapigwa mpaka kuvunjwa mkono lakini yupo bado kwenye ndoa wewe huwezi kujua kwa nini hataki kutoka hivyo wewe huwe mpole tu ndio ndoa yake hiyo maumivu yake yasikufanye ufikirie kuwatenganisha< wanapendana hao!!!

mkuu unatetea domestic violence? yaani dada abondwe,avunjwe mkono,kaka mtu naye amwagiwe chai kisha mumwangalie tu? yeye ni nani duniani hii? Mkuu hii situation embu iangalie kwa umakini zaidi kisha ndo utoe hukumu tafazali.
 
Back
Top Bottom