babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,221
- 3,167
- Thread starter
- #21
Kuwapelekea malalamiko ni sawa na kujaribu kumpigia mbuzi gitaa.Hili gari halipo Singida au Tanga lipo Dar na lina zoa taka kwenye mitaa ya baadhi ya viongozi inawezekana na mgogoni linaingia na bado hakuna kilichofanyika,sasa kujaribu kufuata ujumbe uliopo kwenye stika yao ya mlangoni ni kupoteza muda.Vyombo nya habari ndio lunga wanayoelewa.hajalidhika na huduma toeni taarifa siyo majungu