tehe tehe nilidhani ni huyu wa JF, au ndie huyo??
Daah........Ki-sweet anaakili sana!
Mwana kwetu,mboa hilo pozi la muulizaji halifanani na swali lol!Hahahahaaaa...........mama mchungaji weweeeee!!!!!
Ukiona hivyo ujue kakondoo hakanaga ushabiki! Hata angekuwa besti maridadi angejibu hivyohivyo............. lolest!!!!
Mwana kwetu,mboa hilo pozi la muulizaji halifanani na swali lol!
Au ndio alikua napima upepo kabla ya swali la pili hahahahah!
Mzima swaiba?
Hahahaaa kipipi anajivunia kula pipi za chocolate....
Teh teh teh!!!Lol.......labda alikuwa anaelekea kufanya jaribio la kutoa ofa ya pipi kiwandani!!! Btw, mie mzima kabisa swaiba inakuwaje wewe?
Lazma uzipende kwa kuwa ndo zipo tangu zamani na hazijapotea wala kuchuja...nazipenda piaIla napendelea zaidi pipi kifua a.k.a pipi washawasha....lol!
Hivi huyu ni kipipi yule ninayemfahamu mimi au hu ni mwingine?
Teh teh teh!!!
Mie mzima kbs wangu,
Ungerefusha story labda ungeambulia japo pipi ya kijiti lol!
Dah, mbona kwangu haifunguki, ngoja nitafute spana niifungue manywali.
Lazma uzipende kwa kuwa ndo zipo tangu zamani na hazijapotea wala kuchuja...nazipenda pia