sembo
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 4,350
- 3,451
Mnyama leo kawatandika virungu 6-0 timu ya Polisi Morogoro, inayoshiriki Ligi Daraja la Kwanza.. Na hii ni katika mechi yake ya kwanza ya kirafiki mkoani hapa Morogoro, kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao.
Wafungaji ni Ibrahim Ajib katupia goli 2 kambani, Abdi Banda 1, Mo Kijiko goli 1 na Frederic Blagnon katupia goli 2 kambani.
Ikumbukwe huyu, Blagnon ni mchezaji toka Ivory Cost.. ameletwa na Vincent Angban kwa ajili ya majaribio.. Ili kama akilishwawishi benchi la ufundi asajiliwe.
Kwa soka lililooneshwa leo na hawa vijana wa Joseph Omog..
NAWEKA AKIBA YA MANENO.
Wafungaji ni Ibrahim Ajib katupia goli 2 kambani, Abdi Banda 1, Mo Kijiko goli 1 na Frederic Blagnon katupia goli 2 kambani.
Ikumbukwe huyu, Blagnon ni mchezaji toka Ivory Cost.. ameletwa na Vincent Angban kwa ajili ya majaribio.. Ili kama akilishwawishi benchi la ufundi asajiliwe.
Kwa soka lililooneshwa leo na hawa vijana wa Joseph Omog..
NAWEKA AKIBA YA MANENO.