AmKATRINA
JF-Expert Member
- Jul 27, 2012
- 404
- 342
AmKATRINA kumbe kuna watu kibao hawaonekani,cjui wamefichwa wapi? Nicas Mtei umefichwa wapi wewe?
Hebu shost bandika picha zake kwenye mistimu ya umeme.
Awe Wanted!!
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmKATRINA kumbe kuna watu kibao hawaonekani,cjui wamefichwa wapi? Nicas Mtei umefichwa wapi wewe?
Hebu shost bandika picha zake kwenye mistimu ya umeme.
Awe Wanted!!
madame FirstLady1 mbna hujaacha njia ya mawasiliano km email,na.ya cm au akupm?
watani Pm niwape contact charminglady
Na imani weekend yako ilikuwa sana?
Kila nikijatafuta. Najikosa. Lol!
Kila nikijatafuta. Najikosa. Lol!
charminglady naja kumtafuta mwenzangu ruttashobolwa pamoja na hasimu wake mathematics sijui wako hai au ndo ile gari kule kwenye Pantoni ishawazamisha.
Kama wananisikia napenda kuwaambia kuwa mimi nipo na nitaendelea kuwepo Miaka Mia Nane.
Ujumbe:
Wagombanao ndio wapatanao
Wimbo:
Chozi la Yatima-Jose Mara
nipo hapa bab tena mzima wa afya, me mwenyewe nilikuwa namtauta mathematics tuyamalize
Unshanpata karibu
Hebu mtafute haraka mje myamalize bhana.
Nyie ndugu kwanini mnagombana jamani?
Halafu ruttashobolwa ukishampata mathematics mje kwangu n'tawaandalia Part ya gtTogether.
Missng U!
Naitwa khamis namtafutahabari zenu binafsi! karibuni katika kipindi cha search line. kipindi hiki ni maalumu kwa wale waliopotezana na ndugu /jamaa na marafiki. unachotakiwa kufanya ni kumtaja ndugu/jamaa/rafiki ulîyepotezana naye. na kuacha njia ya mawasiliano atakayokupata. tunawaomba wadhamini wa kipindi (@Roullete, Paw na Invisible) watufikishie mawasiliano haya kwa ndugu waliopotea. kwa kuanza namtafta ndugu The Finest naomba mara apatapo ujumbe tuwasiliane kwa na. zile zile nilizokuwa natumia awali. karibun