Kipindi hewani. . search line

charminglady hapa mimi simntafuti mtu ila sasa ndo ivo......kuna watu nawaaangalia angalia hapa hata siwaelewi ngoja ni:sleepy:
 
Last edited by a moderator:
Mwingine ninayemtafuta ni Erickb52 na Young_Master,
walitumwa na Babu Asprin waje kunikagua badala yake,kama wananisikia
nawaambia hv,njooni tu mnikague msiniogope me binadamu mwenzenu na nimeshabook Hotel tayari kwa Ukaguzi.

Ujumbe:
Ukitaka kula sharti nawe uliwe

Wimbo:
Kwetu Pazuri-Ambsdr Grp
Ujumbe nimeupata...tuwasiliane kwa PM
 
Last edited by a moderator:
Narudi tena kumtafuta dogo mmoja hv anaitwa Rungu,najua hapatikani humu Cc ila mkimuona mwambieni majibu yake ya TCU yametoka.

Ujumbe:
Binti Shomv anamsalimia sana.

Wimbo:
Maisha ya Boarding-Jay Moe
 
Last edited by a moderator:
Umenipata. naomba untumie pm kupitia c/o mimi chini na mnazi mchikichini dar es salaam. ujumbe; tukumbukane kupitia barua. wimbo
MAREBO.

Dah!
charminglady bahati ilioje hii,
kumbe mijimama yao inawabana sana wanaume wa humu Jf.

Na wa Mwisho kbs kumtafuta ni ndg @Nikas Mtei,
mara ya mwisho nilikuona umembeba :baby:wako unatembea nae mtaani.

Ujumbe:
Mjini shule,shamba kilimo

Wimbo:
House of reggae-Burning Sphere
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom