Michael Amon
JF-Expert Member
- Dec 22, 2008
- 8,775
- 3,610
Ndio,
wewe utalala chini baada ya godoro na mimi ntalala juu kitandani,
blanketi chapa mtu,safi sana kwa kutokelezea!
yaani wewe ndio ulale juu yangu? Ina maana unataka kunilala?
Ndio,
wewe utalala chini baada ya godoro na mimi ntalala juu kitandani,
blanketi chapa mtu,safi sana kwa kutokelezea!
yaani wewe ndio ulale juu yangu? Ina maana unataka kunilala?
Me sijasema hvo,
hayo ni mawazo yako bhana.
Unaonaje?
Kukulala ndo kukulalia au kulaliana?
namaanisha kunilalia.
Acha uoga wewe,
come to me haraka.
yaani wewe ndio ulale juu yangu? Ina maana unataka kunilala?
Plz plz plz my charminglady kabla huyo jamaa hajarudi m-PM umwambie arudi angalau amevaa nguo coz katika hali ya kawaida m2 akisikia anatafutwa na hiyo njemba the second best option kwake itakuwa ni kujinyonga b4 the expected encounter with him. Plz, plz plz charminglady do this for JF's sake!
Asante mtangazaji mi namtafuta eliza wa tegeta. ma mdogo. mama ashadii. ujumbe tukumbukane.
i am looking for my one and true Kabakabana ni muda mrefu sijamtia machoni
Ujumbe nisamehe mpenzi wangu kuna mambo yaliingiliana hata mawasiliano yakawa haba Asprin babu nifikishie msg hii kwa mjukuu wako
hope ujumbe utafikia. . . karibu tena!
Nakumbuka niliachana na AmKATRINA wakati tunasoma Vidudu akiwa na kikombe cha uji mkononi mimi nikahamishiwa kijiji cha ngopyolo tangu wakati huo sijaonana naye tena. naomba anyefahamu alipo amwambie anipigie kwenye ka namba kangu ka Buzz ni bomba!
Wimbo ;
Mopao mokonzi.
Waooo!
Ndugu Mtangazaji charminglady kipindi chako hatimae kimenikutanisha na huyu mtu Mu-sir.
Haya ndg Mu-sir naomba unipe sababu mbili zilizokufanya uniache solemba pale FairWay Tegeta kwa dj SayDU ktk Buzuki,
ulisababisha mpaka nimeenda kulala Violla Night Club na supu nikainywea FiyaTanga na chakula cha mchana nimepewa ofa pale Family Bar na mtu nisiemjua?
Haya sema haraka.