Kipindi dk 45 ITV Vs Mchakato majimboni

pikadili

Member
Apr 27, 2011
24
1
Wana JF nimekuwa nikifuatilia kipindi cha dk 45 ITV ambacho kimekuwa kikilenga mahusisi mahojiano na baadhi ya watendaji serikali espicially mawaziri na wastaafu wa serikali ya MAGAMBA,binafsi natatizwa na hiki kipindi kimelenga nini hasa,je ni product ya dhati ITV au nimpango wa serikali ya magamba mana kipindi cha uchaguzi walikimbia kwa kuona ni anguko kuhojiwa nini kipo nyuma ya kipindi hiki,naomba ufahamu,pia wahusika nendeni yaidi ya hapo kipindi kiongezeke weledi!
 
Iliandaliwa walau hata wajisafishe kwa wananchi,kimsingi haina faida yeyote maana ni danganya toto
 
kama hujisikii kuangalia si tune EATV uangalie miziki, tuache sisi tunaotaka kujua hali ya nchi yetu. Ukiwa mjinga sio lazima ushawishi na wenzako wawe hivyo.
 
kama hujisikii kuangalia si tune eatv uangalie miziki, tuache sisi tunaotaka kujua hali ya nchi yetu. Ukiwa mjinga sio lazima ushawishi na wenzako wawe hivyo.

si lazimaucomment kama hamna unachokijua.kipindi hicho hakijawa balanced.tunapata habari za upande mmoja.nafikiri washirikishwe na watu wengine ambao sio watumishi wa serikali.vinginevyo tunatukuwa tunalishwa habari za upande mmoja.
 
Ni kipindi maalumu kwa ajili ya serikali kuelezea mikakati yake ya utekelezaji wa ilani ya magamba na jinsi ya kuondoa kero mbalimbali zinazoewakabili wa tz. Ni kipindi ambacho kinaonesha upande mmoja wa shillingi so siyo vibaya watu kukstukia maana habari zake hazijawa "balanced"
 
Ni muhimu kujua kimedhamiria nini hasa,lkn ni njia ya kusafisha kwa jinsi kilivyo,wakati wa kammpeni waje waonekane kwenye tv tuwaulize waliyotufanyia,tutawashika tu
 
mukama na jk huwa wanasema maendeleo na utendaji wa viongozi wa serikali huwa yanaonekana kulikoni kuelezea kwenye dk 45.
 
Siku Tyson Wasira anahojiwa nilisikitika kuona mwandishi alivyo pwaya katika kumu uliza maswali ya msingi utafikiri haishi hapa nchini! Alikwenda bila kujia ndaa vyema ilhali akijuwa Wasira ni mwanasiasa aliye komaa! Wanasiasa aina ya Wasira ni wajanja na anaweza kukutoa kwenye mstari akaanza kukuongoza jinsi ya kuuliza maswali na yeye kukuburuza apendavyo.

Mwandishi hakuwa na reference yoyote na baadhi ya maswali yake hayakujibiwa kabisa bila yeye kustuka!Juzi nilimuona Maulidi wa Kitenge nayae anamhoji jamaa mmoja kwenye kile kipindi, nilibadili Channel kwa sababu hakikuhusu michezo-Maulidi akihoji maswala ya michezo utapenda, lakini siasa na mambo ya utendaji serikalini? wapi na wapi! Kwa staili ile niliacha kuangalia vipindi hivyo, huwa napenda kipindi cha "Je, Tutafika" cha Ch. 10 cha Chief Makwaia, "Mzee wa Hapo patamu..,hemu rudiaaa.."!
 
Back
Top Bottom