Mchaka Mchaka
JF-Expert Member
- Jul 20, 2010
- 4,516
- 1,404
Mwanzo kipindi hiki kilipoanza nilikipenda sana maana kili-base kuonyesha utaalamu unaotumika katika kujenga vitu mbali mbali. Mtangazaji Aliwahoji mainjinia,mafundi na wataalamu mbalimbali wa fani ya ujenzi.
Bahati mbaya siku za karibuni mambo yamegeuka. Amekuwa akifanya interview katika site za ujenzi na wamiliki wa nyumba au kinachojengwa ambao wengi wao hawana ujuzi wa masuala ya ujenzi zaidi ya kuelezea experience waliyoipata kipindi wanajenga.
Kwa mfano. Leo alikuwa anamuhoji jamaa mmoja..jamaa alikuwa anatoa gharama ambazo si halisi kabisa.
Wajameni tujenge tabia ya kuthamini wataalamu wetu.
Bahati mbaya siku za karibuni mambo yamegeuka. Amekuwa akifanya interview katika site za ujenzi na wamiliki wa nyumba au kinachojengwa ambao wengi wao hawana ujuzi wa masuala ya ujenzi zaidi ya kuelezea experience waliyoipata kipindi wanajenga.
Kwa mfano. Leo alikuwa anamuhoji jamaa mmoja..jamaa alikuwa anatoa gharama ambazo si halisi kabisa.
Wajameni tujenge tabia ya kuthamini wataalamu wetu.