Jamani,sijui mimi ndo niko nyuma ya ulimwengu au vp?ivi hiki kipindi cha mikasi kinachoongozwa na salama kinaelimisha nin hasa?
Ni kweli uko nyuma ya Ulimwengu kuna vipindi ambavyo ni vya kuburudisha tu, ni kama mziki kuna miziki inayofundisha na kuburudisha na kuna mingine haina mafundisho ila ina burudisha tu, kwa hiyo hata hicho kipindi kinawapa watazamaji nafasi ya kujua upande wa pili wa hao wanaohojiwa na kwa mashabiki wao wanapata burudani haswa.
Salma anajua sana.kutoka PLANET BONGO hadi MKASI.safi sana napenda wabunifu kama hawa.
Aidia ya kushoot saluni ilikuwa kuwakilisha neno Mikasi, chaajabu salooni yenyewe mikasi haitumiki.
Salma anajua sana.kutoka PLANET BONGO hadi MKASI.safi sana napenda wabunifu kama hawa.
the best tok show in tz kwa sasa.
Hivi hiki kipindi cha Mikasi hawana sehemu nyingine tofauti tofauti ya kuShoot zaidi ya pale Saloon?