Kipindi cha kumbukumbu ya Mwl Nyerere; mgeni Mohamed Said - Radio Imaan

Status
Not open for further replies.
Habar wakuu!
Hapa nasikiliza Radio Imaan, jamani inatia sana hasira hii Radio kwani
chuki inaporomoshwa dhidi ya Mwl.Jk na wakrsito nchini.
Wanasema TANU ilianzishwa na Waislamu na sio Nyerere, Mungu hakupanga
eti uhuru uwe wa wakristo pekee kwani Uislamu ndio chanzo cha Uhuru
wetu.
Nyerere baada ya uhuru aliwatenga waislamu, Pia wanasema Kiongozi yeyote
akizidisha namba ya MADC waislamu basi lazima afukuzwe kazi na
Nyerere.

Kwani uongo!?
 
kwa hapa dsm frequency zao nahisi zina range kwenye 102.3 kama sijakosea bado anabwabwaja jaribu kumsikiliza..

mi nadhani kama anachoongea ni uongo mngempinga kwa hoja na sio kumuita mdini.

Mtu anakuaje mdini kwa kusema ukweli?
Na kama ni uongo kwanini msitoe hoja na ushahidi wa kupinga anachoongea kama yeye anavyotoa hoja na ushahidi?
 
Pia wanasema shule za wakristo mfano Itaga seminary, Marian girls huwa zinapendelewa na NECTA.
Jamni ni chuki over chuki.

Serkali mko wapi kuwachia waganga njaa kama hawa.


juzi usiku niliwasikia, wanaborea sana na kama tukiendelea kuuweka udini mbele namna hii yatatokea ya nigeria, wantafute mwanafunzi wa marian, st francis au shule nyingine ya kikristo inayofanya vizuri na wawalinganishe na hao wa shule zao wanadai zinaonewa ndo watajuwa ukweli
 
Kama kichwa cha habari kina husika muda huu kipindi cha kidokezo radio imaana ndio kimeanza na mwana JF Mohamed Said ndio mgeni rasmi akichambua historia ya wagombea uhuru

Ameanza kuzungumzia wanaharakati wa kiislamu kina skyes na wenzake kutokuwepo kwenye historia ya wagombea uhuru na badala yake Nyerere amehodhi historia yote na kikubwa anachosema hawakuwekwa kwenye historia kwasababu wao ni waislamu na Nyerere ni mkatoliki



mi nadhani kama anachoongea ni uongo mngempinga kwa hoja na sio kumuita mdini.

Mtu anakuaje mdini kwa kusema ukweli?
Na kama ni uongo kwanini msitoe hoja na ushahidi wa kupinga anachoongea kama yeye anavyotoa hoja na ushahidi?
 
Last edited by a moderator:
yap absolutely alafu humu JF huwa anakimbia hoja za kina nguruvi3 na mwanakijiji
mi nadhani kama anachoongea ni uongo mngempinga kwa hoja na sio kumuita mdini.

Mtu anakuaje mdini kwa kusema ukweli?

Na kama ni uongo kwanini msitoe hoja na ushahidi wa kupinga anachoongea kama yeye anavyotoa hoja na ushahidi?
 
kuna jamaa anawatuma anataka abaki Jk mmoja katika Historia ya Tanzania

Pia kuna document inasambazwa ikielezwa hivyo Mimi niliipata kwa bahati mbaya. Kwa kweli matayarisho ya machafuko yanaendelea kwa kasi na SIRIKALI ipo usingizini. Sijui UWT wanafanya nini.
 
Pia wanasema historia imepotoshwa kuhusu utawala wa waarabu na sultan hapa afrika mashariki.
Kuwa Sultan hakuwahi kuua mtu kwa risasi wala mwarabu hakuwahi kuwabagua watu weusi bali ni propaganda tu za watu ktk kueneza chuki dhidi ya waarabu na sultani.
SIO KWELI, kwa kuwa idadi ya watumwa waliopelekwa uarabuni ni kubwa kuliko waliopelekwa amerika na ulaya.Uingereza ina watu weusi raia vizalia vya watumwa milioni moja na nusu. huko Brazil na Marekani ni wengi mno weusi. Kwa nini hatupati weusi raia wa huko arabuni. Au wali wala nyama? India tu hapo wapo masalia ya watumwa. Vipi arabuni wapo?

Historia yao ndiyo iliyopotoshwa! Haina ushahidi. Watumwa wangapi walifia mikononi mwa waarabu. Asome " Uhuru wa Watumwa" L. Mambombotela mkazi wa Lamu-Mombasa Kenya.Pia, kwa nini. wakati wa Waziri kiongozi-Zanzibar Seifu ilikuwa marufuku kufundisha historia ya utumwa huko zanzibar. Je, huo sio unafiki wa hao Imaani Radio.
 
namshukuru sana huyu mzee kwani ametusaidia kutuonesha ukweli halisi. penye ukweli uongo hujitenga. na siku zote ukweli unauma, ndo maana mnalalamika kwa maumivu. ukweli always.
 
Let them speak brothers&sisters coz always kelele za mlango hazimzuii mwenye nyumba kulala.
Thanx baba wa Taifa 4ur contribution.
Mtombano, jamani mods kwanini wamekuachia utumie hili jina? i dislike.
 
Last edited by a moderator:
ni kina nani waandishi wa historia?? John Okello anaachwa kwenye historia ya mapinduzi ya Zanzibar kwa sababu ya udini wake au uraia wake? Mbona hao kina Sykes wameandikwa sana kwenye historia? hata Nyerere mara nyingi sana amenukuliwa akisema wazee alioshirikiana nao katika kutafuta Uhuru wengi wao walikuwa ni wazee wa kiislam.

Mfano, tambiko alilofanyiwa Magomeni, mkristo alikuwa peke yake. Huo ni uoga!! Huko ni kutojiamini!! Huko ni kujistukia!!! Wapi mmeunika waislam wa nchi hii ikiwa kila eneo mnalalamika kuonewa? Umefika wakati sasa tusio waislam tumewachoka na baadhi ya waislam wamewachoka sasa. Angalia filamu ngapi za kumkashifu YESU zimetengenezwa na kusambazwa lakini kwa vile tulizipuuzia, zimekufa natural death.

Kwa umbumbu wenu, mme-overreact na "innocence of muslim' na kupelekea mamilioni (nikiwepo) kuitafuta na kuitazama yaani vitu vingi mnavifanyia promotion unknowingly. Nilikuwa naangalia na ku-enjoy 'Innocence of Muslim' nika-pause acha nimalizie sasa.
 
Radio iiman inasikika Si tu Tanzania nzima bali pia DUNIYA nzima. hata mimi naipata hapa kupitia mtandao.

Hivyo kuzungumza hapo anasikika dunia nzima.Na wametoa nafasi kwa wenye nafasi kuchangia mada ima kwa kuuliza au hata kufafanua lolote kama litakuwa limeshaulika.


tatizo watu wengi humu jf wanabwabwaja bila kutoa hoja za kupinga kinachoongelea.

Inakuaje mtu awe mdini kwa kusema ukweli?
Kama anachosema ni uongo hao wanaoujua ukweli mbona wapo kimya?
 
Tatizo lililopo ni wengi wenu kumuona Nyerere kama ni Mungu au Malaika kuwa yeye hakuweza kufanya makosa. Lakin katika moja ya hotba zake aliwahi kukiri hadharani kuwa katika uongozi wake aliweza kufanya makosa ya kibin'Adam na kuomba radhi kwayo.

Lazima mjua siku zote UKWELI unasimama hivyo ni vibaya kumsingizia mtu ima awe hai au maiti. LAKIN ni vizuri atajwe kwa swifa zake au matendo yake alofanya duniyani iwe mazuri au mabaya.

Sasa msichukia akitajwa kwa mabaya kwani ni funzo kwa wengine kujisahihisha kwayo. Kwani MS alichosema kipo katika kitabu chake (ameweka katika fasihi andishi) hivyo dahal na dahal watapita na kusoma na kugundua ukweli upo wapi.

Narudi pale pale kusema NYERERE SI MUNGU WALA MALAIKA

Sawa, Nyerere sio Mungu wala malaika. Huyo mzee Mohamed Said kashadadia tu ubaya wa mwalimu, aseme basi na mabaya ya hao akina Abdul Sykes, Aziz Dosa na Hamza Mwapachu. Hakuna balance kwenye hizo tathmini zake. Radio ina wajibu wa kuongea vitu vya kuwaunganisha watanzania, sio kuwaeleza vitu visivyo na tija kama hivi. Ni aibu sana kwa mzee kama huyu kushadadia mijadala ya vijiweni

 
Hakuna aliyewahi kumwona Mwalimu kuwa ni Mungu au Malaika. Tunachokataa wengi ni Mwalimu kusingiziwa na kubambikiwa mambo ya ajabu kabisa. Mwalimu aliuhangaikia sana UDINI na UKABILA nchi hii. Watu hawalioni hili badala yake wanahoji UKATOLIKI wake!
Barubaru nikuulize swali dogo tu: Kwa nini Mwalimu alitaifisha shule za madhehebu ya DINI tena bila fidia?

WC,

Usiseme hivyo kwani naweza kupa mifano hai na wewe mwenyewe ukaona wazi kuwa alikuwa mbaguzi wa Rangi.

Mfano. Kumbuka kuwa katika Tanzania kuna watu wa rangi tofauti yaani kuna wahindi, waarabu, wazungu na watu weusi lakin wote ni watanzania.

Kumbuka na watu hao bila kujali rangi zao walipelekwa JKT mwaka mmoja mara walipokuwa wanamaliza Form six au vyuo kwa mujibu wa Sharia.

Suala langu Je umewahi kumuona Mhindi au Mwarabu kuwa katika vyombo vyenu vya ulinzi kama Jeshi, polisi, magereza n.k
Kumbuka Kwenye chombo cha kutunga Sharia yaani Bungeni wapo tena wametokana na kuchaguliwa na wananchi. Je unajuwa kwanini? au mtu akilisemea hilo kuwa amemsingizia?

Kumbuka kuwa NYERERE SI MUNGU WALA MALAIKA

 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom