Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 26,033
- 23,873
Kama kichwa cha habari kina husika muda huu kipindi cha kidokezo radio imaana ndio kimeanza na mwana JF Mohamed Said ndio mgeni rasmi akichambua historia ya wagombea uhuru
Ameanza kuzungumzia wanaharakati wa kiislamu kina skyes na wenzake kutokuwepo kwenye historia ya wagombea uhuru na badala yake Nyerere amehodhi historia yote na kikubwa anachosema hawakuwekwa kwenye historia kwasababu wao ni waislamu na Nyerere ni mkatoliki
Ameanza kuzungumzia wanaharakati wa kiislamu kina skyes na wenzake kutokuwepo kwenye historia ya wagombea uhuru na badala yake Nyerere amehodhi historia yote na kikubwa anachosema hawakuwekwa kwenye historia kwasababu wao ni waislamu na Nyerere ni mkatoliki
Last edited by a moderator: