Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
hongera! Vipi umeshamtafutia jina? Usiache kumwekea zile nyimbo nzurinzuri na kumsomea vifungu vya biblia.
ntafanya hivyo soon ila sijui ntaftie wapi kwenye baibo ipi? Au nigoogle lol
hongera! Vipi umeshamtafutia jina? Usiache kumwekea zile nyimbo nzurinzuri na kumsomea vifungu vya biblia.
Ki biblia ni dhambi kama zingine zote..tena inaleta laana! if we will start this topic ignorant people may come out ignorantly to defend..while they are christian
It is boring..ikifika muda huo ninabadili channel..
Tunapoona picha za chereko tunaona matukio ya karibuni ya wahusika, bila shaka hii inajenga taswira ya tukio hususa.
Ninaona tatizo pale wale waliokufa picha zao zinazotumika ni zile zinazoonyesha mazingira ya kazi au elimu.
Ili kuweka uzito kwenye tukio la kifo, natamani picha zinazotumika zingekuwa ni zile zinazoonyesha matukio yaliyopelekea msiba, au picha zao za siku za mwisho.
Nasimama kukosolewa.
Waberoya, usiseme Unabadili channel, sema 'TUnabadili channel' maana watanzania wengi tunabadili channel.
Ila mbona kwenye mazishi huwa watu wanaweka picha yake mazishini?
sure my dear
you are talkng an act that is being done while the deceased is still not buried. Soon after funeral ceremony, automatically the spirit of God embraces all people attended there.....you find relief and comfort "this happen soon after burial'. But showing photo after 4 years or nine years!!! I dont get it
I know many people do this, let them do...but it does not make sense at all
Kwani una uhakika gani kwamba kati ya picha zitakazoonyeshwa siku hiyo hakuna ya unayemfahamu? Baadhi yetu tumegundua watu tuliokuwa tukiwafahamu vema na kupotezana nao muda mrefu walishafariki. Tumeona hilo kwenye Bango.Nawashauri wananchi waache kupoteza pesa zao bure. 15% ya watu ndio wanaotazama, tena wale ambao wanajua wamelipia wanasubiria walione tangazo lao, wengine wote tunakuwa tupo kwenye channel nyingine au tumezima tukaamua kusikiliza redio kuliko 'BANGO'
kuangalia bango ni sawa na KWENDA KWENYE UBAO WA MATANGAZO KUANGALIA JINA LAKO WAKATI MATOKEO HAYAKUHUSU.
Hakuna katika Biblia kifungu kinachokataza mtu kumkumbuka marehemu wake. Walikuwa miongoni mwetu, tuliwapenda na wanadumu katika kumbukumbu zetu kwani walikoenda nasi tutakwenda na tunaamini wako hai kiroho. Kama hupendi kuziona tashwira za waliotangulia badilisha channel na uwache wanaotazama kwa utashi wao wafanye hivyo. Ila hili la kuonyesha picha ya tukio la mwisho la marehemuhalina mantiki hata kidogo, labda aliyeanzisha alitokea usingizini!Ki biblia ni dhambi kama zingine zote..tena inaleta laana! if we will start this topic ignorant people may come out ignorantly to defend..while they are christian
It is boring..ikifika muda huo ninabadili channel..
Hakuna katika Biblia kifungu kinachokataza mtu kumkumbuka marehemu wake. Walikuwa miongoni mwetu, tuliwapenda na wanadumu katika kumbukumbu zetu kwani walikoenda nasi tutakwenda na tunaamini wako hai kiroho. Kama hupendi kuziona tashwira za waliotangulia badilisha channel na uwache wanaotazama kwa utashi wao wafanye hivyo. Ila hili la kuonyesha picha ya tukio la mwisho la marehemuhalina mantiki hata kidogo, labda aliyeanzisha alitokea usingizini!
Tunapoona picha za chereko tunaona matukio ya karibuni ya wahusika, bila shaka hii inajenga taswira ya tukio hususa.
Ninaona tatizo pale wale waliokufa picha zao zinazotumika ni zile zinazoonyesha mazingira ya kazi au elimu.
Ili kuweka uzito kwenye tukio la kifo, natamani picha zinazotumika zingekuwa ni zile zinazoonyesha matukio yaliyopelekea msiba, au picha zao za siku za mwisho.
Nasimama kukosolewa.
Nawashauri wananchi waache kupoteza pesa zao bure. 15% ya watu ndio wanaotazama, tena wale ambao wanajua wamelipia wanasubiria walione tangazo lao, wengine wote tunakuwa tupo kwenye channel nyingine au tumezima tukaamua kusikiliza redio kuliko 'BANGO'
kuangalia bango ni sawa na KWENDA KWENYE UBAO WA MATANGAZO KUANGALIA JINA LAKO WAKATI MATOKEO HAYAKUHUSU.
Nasimama kukosolewa.
Waberoya, usiseme Unabadili channel, hsema 'TUnabadili channel' maana watanzania wengi tunabadili channel.
Ila mbona kwenye mazishi huwa watu wanaweka picha yake mazishini?
kwanza mimi sioni sababu ya kubandika picha za walinkufa kwenye tv. Ni utamaduni wa ajabu sana.
Tunapoona picha za chereko tunaona matukio ya karibuni ya wahusika, bila shaka hii inajenga taswira ya tukio hususa.
Ninaona tatizo pale wale waliokufa picha zao zinazotumika ni zile zinazoonyesha mazingira ya kazi au elimu.
Ili kuweka uzito kwenye tukio la kifo, natamani picha zinazotumika zingekuwa ni zile zinazoonyesha matukio yaliyopelekea msiba, au picha zao za siku za mwisho.
Nasimama kukosolewa.
Ki biblia ni dhambi kama zingine zote..tena inaleta laana! if we will start this topic ignorant people may come out ignorantly to defend..while they are christian
It is boring..ikifika muda huo ninabadili channel..