Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Sikiliza live hapa TuneIn Web TunerMada leo ni kundi linalosababisha vurugu zanzibar je lipo juu ya sheria?
Kamanda ameanza na kumnukuu nyerere.
Sikiliza live hapa TuneIn Web TunerMada leo ni kundi linalosababisha vurugu zanzibar je lipo juu ya sheria?
Kamanda ameanza na kumnukuu nyerere.
Anasema masuala ya udini kwenye vurugu za Zanzibar ni hoja ya kujishikiza tu. Suala zima ni utata wa muungano..
Kuna jamaa hapa kilaza,kaingia kwenye mjadala hana data,halafu ni anajiita mwanasheria,hawa ndio wanasheria uchwara
Anasema masuala ya udini kwenye vurugu za Zanzibar ni hoja ya kujishikiza tu. Suala zima ni utata wa muungano..
Kuna hili dubwashika lenye koti la kijani linasema hoja ya kupinga muungano ni hoja ya Cuf,Lissu anampinga anasema Mzee jumbe na wanasheria wake waliwekwa kizuizin kwa kutaka kuujadili muungano,so suluhu ni kuruhusu mjadala wa Muungano!
Simu IDDI wa arusha: kwa nini vyombo vya habari haviwapi fursa UAMSHO kujieleza baada ya kuwaelezea uamsho kama watu wabaya? maoni yangu binafsi vyombo vya habari viwaite uamsho na viwahoji ili tupate maoni yao........mimi nina wasiwasi kuwa huenda serikali ikafanya haya mambo yenyewe kwa maslah yao