Kipimajoto ITV: Tundu Lissu ndani ya nyumba

Mamaya

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
4,787
3,682
Mada leo ni kundi linalosababisha vurugu zanzibar je lipo juu ya sheria?
Kamanda ameanza na kumnukuu nyerere.
 
Anasema masuala ya udini kwenye vurugu za Zanzibar ni hoja ya kujishikiza tu. Suala zima ni utata wa muungano..
 
Jamaa anahoji je huu muunganoni sawa na sheria aliyopewa nabii Musa kwa hiyo usiguswe?
 
Mh. Tindu Lisu amefungua mjadala wa Leo unaozungumzia vurugu za Zanzibar.
Ameanza kwakutoa historian fupi ya Zanzibar ambapo ukristo ulianza zamani znz kuliko hata bara hivyo basi tunahitaji kutafuta chimbuko na wahusika wa vurugu hizo
 
Anasema masuala ya
udini kwenye vurugu za Zanzibar ni hoja ya kujishikiza tu. Suala zima ni
utata wa muungano..

anasema mlango wa amani ukifungwa unafunguka mlango wa vurugu. uwepo wa muungano ujadiliwe kwani katiba ya sasa inaruhusu kuuvunja kwa theluthi mbili ya kura za wabunge wa pande zote!
 
Mh. Tindu Lisu amefungua
mjadala wa Leo unaozungumzia vurugu za Zanzibar.
Ameanza kwakutoa historian fupi ya Zanzibar ambapo ukristo ulianza
zamani znz kuliko hata bara hivyo basi tunahitaji kutafuta chimbuko na
wahusika wa vurugu hizo

mods: kuna thread nyingine humu. ziunganisheni!
 
Kuna jamaa hapa kilaza,kaingia kwenye mjadala hana data,halafu ni anajiita mwanasheria,hawa ndio wanasheria uchwara
 
Hasante bro, maana nilishaizima TV. Taarifa yako humu JF ndio imenifanya nikione hiki kipindi. Huyo Mzenji aliyevaa Magwanda amekaa karibu na Lisu anaitwa nani? maana naona nae anaongea ukweli mtupu.
 
Hasante bro, maana nilishaizima TV. Taarifa yako humu JF ndio imenifanya nikione hiki kipindi. Huyo Mzenji aliyevaa Magwanda amekaa karibu na Lisu anaitwa nani? maana naona nae anaongea ukweli mtupu.

anaitwa Hamad Yusufu
 
Muungano unajadiliwa katika kipima joto ITV. Wazanzibar wanalonga... Watawala wanatumia ubabe kuuendeleza muungano.
 
Kuna sheikh anasema kuwa wananchi wako mbele kifikra viongozi wao wako nyuma kifikra,kwamba wao wananchi wanajua wanataka nini
 
Mh Lisu anachambua vizuri sana suala la muungano. Jamaa anajua kujenga hoja huyu! Inanoga sana kumsikiliza.
 
huyu Lissu ni jembe linalokata vibaya mno. Huyo jamaa aliyechelewa kuja hajui alilokuwa anaongea.
 
Kuna hili dubwashika lenye koti la kijani linasema hoja ya kupinga muungano ni hoja ya Cuf,Lissu anampinga anasema Mzee jumbe na wanasheria wake waliwekwa kizuizin kwa kutaka kuujadili muungano,so suluhu ni kuruhusu mjadala wa Muungano!
 
Back
Top Bottom