Kipimajoto ITV Live

Wachangiaji wote wa studio na wale wa simu wanaonyesha kutoridhirishwa na performance ya bunge. Na kikwazo kikubwa cha mafanikio kimetajwa kuwa ni Spika wa Bunge mwenyewe kutoonyesha uongozi bora katika kuendeshe mijadala haswa pale hoja zinapotoka wa wabunge wa CHADEMA. Baadhi ya wachangiaji wamesema wazi kwamba kikao hiki cha kwanza cha bunge kwa watu walikuja na nia ya kupunguza nguvu za CHADEMA. Na wamesema wananchi wameliona hilo na kwa hiyo si jambo jema wa maslahi ya Taifa.
 
Wachangiaji wote wa studio na wale wa simu wanaonyesha kutoridhirishwa na performance ya bunge. Na kikwazo kikubwa cha mafanikio kimetajwa kuwa ni Spika wa Bunge mwenyewe kutoonyesha uongozi bora katika kuendeshe mijadala haswa pale hoja zinapotoka wa wabunge wa CHADEMA. Baadhi ya wachangiaji wamesema wazi kwamba kikao hiki cha kwanza cha bunge kwa watu walikuja na nia ya kupunguza nguvu za CHADEMA. Na wamesema wananchi wameliona hilo na kwa hiyo si jambo jema wa maslahi ya Taifa.
Ipo siku kitaeleweka tu bongo yetu hii!
 
Mmmmh...... huku kwetu ndiyo kwanza umeme unarudi. Lakini ahsante
kwa kutujulisha yote yaliyohajiri ndani ya kipimajoto cha leo
 
Huyo Bana ni Dr wa kweli au ni ule wa kufoji? Anazungumzia ishu na baadaye anajipinga mwenyewe. Eti spika amesikia mapungufu yake na hapohapo anadai ni mtu makini! Huyo Dr ananishangaza kweli. Wachangiaji wengine wote walikua wazuri sana na hoja zao... hata yule mama ambaye si Dr ni mpiga kura tu alimzidi sana Bana. Ehe1 kumbe Baregu ni mwalimu wa Bana... angepaswa kum-disco
 
Mhadhiri wa UDSM ambaye pia ni mwenyekiti mwenza wa REDET amemuunga mkono spika makinda kuhusu hatua yake ya kuizima hoja ya TUNDU LISSU aliyetaka bunge litengue kanuni mojawapo ya bunge ili wabunge wajadili suala la dharura la milipuko ya mabomu gongo la mboto. Dr. Bana amesema haoni tatizo makinda kuzima hoja hiyo kwa sababu wabunge hawakua na pa kuanzia na wasingeweza kujadili kabla ya utafiti kufanyika ili kupata undani wa tukio hilo. Bana anasema anadhani ni vema wabunge wakajadili suala hilo baada ya kupata taarifa za kutosha na za undani zaidi kuhusu tukio hilo la milipuko ya mabomu gongo la mboto.. Source: itv-kipima joto
 
Simwelewi kabisa huyu bana. Mi nadhani kuwa Dr bila critical thinking ni useless. Huyu jamaa anaiabisha hata familia yake. Bana sio analytical kabisa wakuu. What a pity.

Kwani Dada Regia Mtei aliposema kuwa kuna watu wanaequalize PhD na degree alikosea? Ndo sample ya mitambo kama hii aliyokuwa anatolea reference :spider::A S 13:
 
Kwani Dada Regia Mtei aliposema kuwa kuna watu wanaequalize PhD na degree alikosea? Ndo sample ya mitambo kama hii aliyokuwa anatolea reference :spider::A S 13:


Mbimbinho ..umeshakunywa viroba nini..?
 
Duh, samahani mkuu, bado network haijaanza kusoma vizuri since Gong's explosion. Gong's explosion ni zaidi ya viroba 100 mkuu :spider::spider:

hii nimeipenda sana mkuu..viongozi wetu wangeonyesha wigo wa uwajibikaji ...tungefika mbali ... nadhani ungestahili nafasi ya uwaziri wa ulinzi kwani upo tayari kuwajibika kwa kusema samahani
 
Mhadhiri wa UDSM ambaye pia ni mwenyekiti mwenza wa REDET amemuunga mkono spika makinda kuhusu hatua yake ya kuizima hoja ya TUNDU LISSU aliyetaka bunge litengue kanuni mojawapo ya bunge ili wabunge wajadili suala la dharura la milipuko ya mabomu gongo la mboto. Dr. Bana amesema haoni tatizo makinda kuzima hoja hiyo kwa sababu wabunge hawakua na pa kuanzia na wasingeweza kujadili kabla ya utafiti kufanyika ili kupata undani wa tukio hilo. Bana anasema anadhani ni vema wabunge wakajadili suala hilo baada ya kupata taarifa za kutosha na za undani zaidi kuhusu tukio hilo la milipuko ya mabomu gongo la mboto.. Source: itv-kipima joto

REDET si ndo wale wachakachuaji wa kula za maoni? Hapo si anajitahidi kuchakachua tu?
 
Back
Top Bottom