Kipimajoto ITV Live

Dr. Peter Mateso anasema mbinu ya kuelimisha watu kuhusu katiba kabla ya kubadili ni UDANGANYIFU, WALIKUWA WAPI MUDA WOte?
 
Tujazeni Intelejensia wana-JF wengine Tumeadhibiwa na Tanesco


Dr. Petr Mateso anasema kuna conspiracy kwenye ishu ya katiba. kwamba walioitunga enzi za mwalimu walijua kama ipo siku watz wataamka na kudai katiba mpya na watakapoanza kudai tutawaambia tuwape elimu kwanza ili kupoteza/kuvuta muda.
 
Simwelewi kabisa huyu bana. Mi nadhani kuwa Dr bila critical thinking ni useless. Huyu jamaa anaiabisha hata familia yake. Bana sio analytical kabisa wakuu. What a pity.
 
Prof. Baregu anasema watanzania wa kawaida wana akili kubwa kuliko viongozi wao..hii ni baada ya kukosa matumaini ya maisha yao ya kawaida na kuamua kutokwenda kupiga kura baada ya kuonekana angiko kubwa la viongozi kutowapa matumaini wananchi kama wajibu wao
 
Baregu anawachambua CCM KWA kukimbia midahalo mwaka jana na maka sasa wanavyokimbia mijadala kwenye vyombo vya habari.:wink2:
 
Prof. kawapa za uso Kabwe na Shibuda. Kila chama kina katiba yake. na maamuzi ya chama lazima yaheshimiwe kwa sababu yanatokana na katiba ya chama husika.

hii inanikumbusha wakati wabunge wa chadema waliposusia hotuba ya mkwere na kabwe hakuwepo bungeni bila taarifa wala ruhusa kutoka kwa viongozi wake; shibuda yeye alifika mbali kiasi cha kuvizia 'mnuso'
 
MH huyu mama ni jembe anawadis NCCR TLP na UDP kwa ujinga walioifanyia cdm,anasema wapinzani kwa wapinzani kuharibiana siyo
 
Kuna mama mmoja yupo makini sana, anasema wabunge hawapo kutetea maslai ya wapigakura bali maslahi ya chama,
 
Kilaza Bana anaulizwa je itafika wakati wabunge wataenda bungeni kutetea MASLAHI ya umma na si chama?
 
kutoka kwa jonathan wa ukonga anachangia kuhusu upinzania anaeleza kuwa CDM haiwezi kuwa na ushirika na CUF koz CUF wanandoa na CCM zanzibar.
 
Back
Top Bottom