Kipima joto itv; wizi wa madini yetu nini kifanyike??

commited

JF-Expert Member
Feb 27, 2012
1,626
870
Naaam kipima joto kipo hewani, karibuni muangalie kunawageni 3 toka wizarani akiwepo naibu waziri wa madini bwana masele, na mwanaharakati dr. Shale
 
Watu hawa 3 wa serikali wanajisifia kuwa hakuna nchi katika africa inayofanya vizuri katika madini eti kama tz, naibu waziri anasema eti sasa ndio amejua njia za wizi kwahiyo ndio wanajipanga kuwadhibiti....... Daaaah kazi ipo hapa bwana shala anasema swala la kupiga kelele juu ya wizi wamepiga kelele tangu 2001 lakini hakuna kilichofanyika, anasema sheria zetu za madini ni za kucopy na kupaste toka zambia, hawa wa serikali wanakataaa wanasema tz tunafanya vizuri sana katika madini kuliko nchi nyingine africa lohhh kazi ipo hapa
 
Bwana masako anauliza, nini kinafanyika endapo mkataba umeshasainiwa na muwekezaji huyo wakati akichimba ikatokea akakutana na madini mengine je nini huwa kinafanyika
 
Tuwape wataalam wetu wa hapa hapa nchini wakaandae mazingira bora kisera na kisheria na kuimarisha vyombo vya usimamizi visivyoingilika na na executive power kiutendaji.

Tuwashirikishe zaidi washikadau wa nchi hii katika kila hatua ya mabadiliko kwa faida ya taifa zima na wala tusiwaachiel hawa manyang'au wa Uswisi kuendelea kutupora na kuficha nje ya nchi ajira zetu hizo.

Tuandae mazingira yenye kuchaangia kuzalisha wawekezaji wengi zaidi wa nyumbani hapa hapa ili nao wawe na uwezo wa kushindana katika sekta hizi.
 
nimeikuta imeanza ila nimesikia mmoja ansema kuwa Eti Sheria ya madini ya Tanzania imekuwa copied from Zambia. the only thing kilichobadilishwa ni neno SHERIA YA MADINI TANZANIA badala ya ZAMBIA. but content yoote ni kukopi na kupaste......
 
Huyo mtu wa serikali awe makini sana na anachosema. Kama kuna mtu anayejua madudu ya sector ya madini Tanzania, pamoja na mikataba mibovu basi Dr Nshala ni mmojawapo. Huyu bwana kamaliza PhD Havard na alienda kusomea mikataba ya madini. Anaijua sekta ya madini kama kiganja cha mkono wake.
 
Back
Top Bottom