Kipima joto ITV, Renatus Mkinga na TANESCO

Yan kipindi kimeisha, ndo wanaturudishia umeme, hii nchi kwel ya kitu kidogo.
 
Nguvu mali si umesikia shujaa wako anasema Bunge waaache kuniita (mimi Ngeleja kama ulivyotaka wewe) mzigo na wala TANESCO wasiitwe mzigo.
Du hatujui, labda ana ajenda! anamtetea Kikwete na kupinga kina Slaa kumsema Ridhiwani na anaonyesha kuwafananisha na Mafisadi kwani ni Slaa na Padri Mtilkila ndio waliomsema Ridhiwani.
Hitimisho ni kuwa kusema mengi basi atayapata mengi pole shujaa1
 
kauli ya mzee mkinga yakumalizia kipind ya kata shngo imebeba ujumbe mahususi..amen.
 
hitimisho kamusihi jk kuvuwa gamba haitoshi akate kicwa akipoteza watatu sii vibaya watabaki wengi ambao ni safi hao ni mzigo kwa jk
 
Mtuambie kinachoendelea, sio suala la kumsifia mkinga..leteni vitu anavyoongea kwa nyie mnaongalia
 
Mkinga ahitimisha kwa kumwachia Raisi mtihani, ahitaji kuwa muoga anatakiwa kulikata joka kichwa na siyo kujivua gamba yaani amtumue Lowasa, Chenge na Rostam.
Haya mkulu kazi hiyo, kata kichwa siyo kuvua gamba
 
Dah! Huu ufisadi utatuua kama wa2 kama Mkinga wakiamua kukaa kimya. Tunao wa2 ambao hawana woga basi tuwatumie vizuri kabla haijafikia point of no return. Nimemkubali sana Mkinga.
 
Kumbe ukixplore sources zote za umeme Tz kuanzia geothermal,hep,wind power etc twaweza pata 10000mw makubwaaa!
Wakati consumption yetu kwa sasa ni hardly 2000mw
Stigler's gorge rufiji peke yake inatoa hizo 2000 yani rais angekaza na hiyo au mchuchuma na ngaka angeondoka na legacy nzuri..
 
Hivi mbona mnaleta habari nusunusu??kwani kila mtu anaangalia hicho kipindi??haya kauli yake ya mwisho amesemaje?? give a brief plz
 
Ila inaonesha kuna ukweli hapo kwamba Tanesco sio mzigo bali serikali ndio mzigo. Kwa sababu kama Tanesco inafanya kile serikali inachoamua! Basi tatzo lipo kwa serikali. Sasa nani wa kutusaidia sisi tusio na majenereta wala taa za solar!? Nani wa kuondoa hao viongoz wabovu madarakani! Hayo yakfanyka, 2tasalimika.
 
Nguvu mali si umesikia shujaa wako anasema Bunge waaache kuniita (mimi Ngeleja kama ulivyotaka wewe) mzigo na wala TANESCO wasiitwe mzigo.
Du hatujui, labda ana ajenda! anamtetea Kikwete na kupinga kina Slaa kumsema Ridhiwani na anaonyesha kuwafananisha na Mafisadi kwani ni Slaa na Padri Mtilkila ndio waliomsema Ridhiwani.
Hitimisho ni kuwa kusema mengi basi atayapata mengi pole shujaa1
Acha kupotosha kwa makusudi wewe Bwabwa wa Mafisadi na wala usimpandikizie Maneno!!Mzee Mkinga alichokisema nikwamba Mwenyekiti asiwaogope hao Mafisadi afukuze wote kuwavua Magamba haitoshi akate Kichwa kabisa kiwiliwili kule mkia kule kwamba saiv wameanza hadi kuisakama familia yake(Hao Mafisadi)wanadai kwambia Ridhiwani ameingiza Mamia ya Magari Bandarini ye amefuatilia hadi Bandarini hakuna Kitu kama hicho so akiwalea itamgharimu..!Hajamuongelea Slaa wala Cdm au masikio yako yana Kifafa Mkuu?Usipotoshe bhana kuna watu hawajapata Fursa yakufuatilia Mjadala wanategemea hili Jamvi.
 
Yaan hapo bonde la ufa 2! Geothermal power can provide 10000 megawatts, ambazo zinazalishwa na kuuzwa kwenye nchi kumi huko west Africa. Si upuuz huo kuendelea kukaa gizani???!
 
bajeti ya umeme tilio 12 haina mchanganuo ufisadi kayachambuwa magazeti ya kinafiki kamuchambuwa chenge anavo endeleya kuisaidia dowansi ilipwe anajiamini nini? Kaeleza mikatabi mengi yakifisadi kasababisha chenge kashauli jk awafukuze chenge r .a rowasa wamelisababishia taifa hasala
Trilioni 12 ni bajeti ya serikali nzima si umeme..
 
Nakubaliana nawe kuwa tunamuhitaji mtu huyu lakini kama angekuwa anaondowa jazba pengine atatusaidia sana!

Mkuu tanzania tunajivunia amani sikweli sema tulio wengi hatujuwi haki zetu selikakali isipo chukuwa hatuwa za makusudi kubadili mfumo wa miaka50 gafula haliyahewa inaweza badilika wtz wengi wameanza kuelewa haki zao za kimsingi usimraum mkinga anajuwa anaona anasikia uovu waselikali ndomaana jaziba inapanda ninaimani utakuwa miongoni mwawenyejaziba ukijuwa hakizaako
 
Back
Top Bottom