bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,347
- 6,736
Tangu mitambo ijengwe enzi za Nyerere Tanesco hawajajenga mtambo wowote wa kufua umeme wakati Nyerere aliweka mpaka na ziada ya umeme kwa mahitaji ya wakati huo.
Mtambo wa umeme wa Kihansi ulianza kujengwa mwaka 1994 na kuanza kazi mwaka 1999 wakati wa Mkapa.