Ulitaka waulizaje?
Swali lipo hivi
"Kambi rasmi ya upinzani kususia mjadala wa katiba, je ni suluhisho?"
Wangeuliza WABUNGE WA CCM KUENDESHA MIPASHO BUNGENI JE NI SULUHISHO LA KATIBA MPYA?
Wangeuliza WABUNGE WA CCM KUENDESHA MIPASHO BUNGENI JE NI SULUHISHO LA KATIBA MPYA?
75% wamesema NDIYO, 24% wamesema HAPANA, na 1% sijui....Swali lipo hivi
"Kambi rasmi ya upinzani kususia mjadala wa katiba, je ni suluhisho?"
75% wamesema NDIYO, 24% wamesema HAPANA, na 1% sijui....
chuja mwenyewe uone nani mshindi ingawa swali lilikuwa limekaa kizushi fulani ivi.
75% wamesema NDIYO, 24% wamesema HAPANA, na 1% sijui....
chuja mwenyewe uone nani mshindi ingawa swali lilikuwa limekaa kizushi fulani ivi.