Hatimaye wananchi wamewaumbuwa wale waliotaka kuwaaminisha kuwa ahadi ya kutoa Elimu na Afya Bure kuwa Haiwezekani..!!
Waliosema inawezekena ni Asilimia 81%. Hila za CCM kwisha kabisa....!
2010 HATUDANGANYIKI...!
Hatimaye wananchi wamewaumbuwa wale waliotaka kuwaaminisha kuwa ahadi ya kutoa Elimu na Afya Bure kuwa Haiwezekani..!!
Waliosema inawezekena ni Asilimia 81%. Hila za CCM kwisha kabisa....!
2010 HATUDANGANYIKI...!
Waliojibu ni watu wa kawaida wasiojua nini wanasema, na pengine ni katika kupenda vya dezo.
Binafsi Napinga Elimu ya Bure... huku nikurudisha watu nyuma... the priority now should be improving quality of education... hizi elimu za bure will endup getting nothing.
"Kila mtu ataubeba mzigo wake mwenye" - C. D. Msuya.
Elimu ya kulipia ukitaka ipo, nenda shule binafsi. toa sababu kwa nini hupendi watu wapate elimu bure??, neno bure ni nelo la mkato, elimu italipiwa na rasilimali/mapato ya serikali toka vyanzo mbalimbali tulivyonavyo ambazo kwa sasa zinanufaisha wachache, fikiria mheshimiwa trip za nje angepunguza kwa 80% hiyo hela ingesomesha wangapi? kwanza serikari haijiendeshi kutokana na ada za wanafunzi,
Wanachama wa CCM ndo wapenda DEZO:becky:, Na ndo walio vote Inawezekana:becky:Waliojibu ni watu wa kawaida wasiojua nini wanasema, na pengine ni katika kupenda vya dezo.
I can only agree with you if you know.
--how many primary, secondary, univisities we have today?
--What is the deficit of primary, secondary, universities
--What is the gap in terms of books, libaries, laboratories
--How much it cost to run a full funished primary, secondary school and university.,
Then Tutaongea.....
Source za hela mnazosema ni ndogo sana, wandugu... ingekuwa busara hela hizo mnazosema ziende kwenye kuhudumia uchumi... sio kutoa huduma... ili under long run tujitegemee...
mkuu kipima jaoto kisikudanaganye kabisaa
You can make a good research from our neighbors Kenya, they have just made it, if is possible in Kenya why not in Tanzania?? The same or more will apply in Tanzania
Elimu yetu iko ICU, shule hazina labraries, laboratories, well paid teachers with outdated syllabuses what to you expect from that combination, taxi drivers and bodaboda riders are having a lot of cash than teachers in such away in some places teachers borrowed motor cycles now are bodaboda riders that is Tanzania education:confused2:
Waliojibu ni watu wa kawaida wasiojua nini wanasema, na pengine ni katika kupenda vya dezo.
mkuu kipima jaoto kisikudanaganye kabisaa