Kipigo cha Dk. Ulimboka chazua balaa tiGO

kama wamedhani siri imevujishwa na wafanyakazi wa tigo hiyo ni akili ndogo.Kuna watu kwa nafasi zao za kazi serikalini(USLAMA)wanaweza kuihitaji taarifa za mtu yeyote za mawasilino yake,na hao kwa utashi wao wameona ni vyema wanachi wajue pitia mwanahalisi, na isitoshe wataendelea hivyo kwa wasivyo viafiki.
 
tiGO imefukuza karibu wafanyakazi wake 30 kutokana na kile kuwa wamefanikisha Kubenea au MwanaHalisi kupata mlolongo wa mawasiliano ya simu kati ya yule mfanyakazi wa ikulu, Ramadhani, na Dr. Ulimboka. Je, hii ni sababu au ushahidi tosha ya kuthibitisha kuwa serikali inahusika na mkasa wa Dr. Ulimboka?

Source: TanzaniaDaima 8/8/2012, toleo namba 2805, Wednesday
 
Kumbe wamefukuzwa! Ina maana Kubenea ndiye aliyefanya au ni baadhi ya watu ndani ya system yenyewe ambao wana access na mitandao yetu ya simu?
 
hivi kuna mwehu mpaka leo hajaamini kuwa serikali ili husika kwa asilimia 100, au kuna mwehu anasubiri serikali ya chama cha mambwepande isimamame jukwaani na kukiri kuwa ilihusika..
 
  • Thanks
Reactions: SMU
[h=6]breaking News.

Dr ulimboka kutua nchini wakati wowote akitokea af kusini kwenye matibabu.
wanaharakati,madokta wenzake na vyama kadhaa vya siasa vinaandaa na kuratibu mapokezi yake yatakayofanyika kuanzia uwanja wa ndege jijini dsm.

wanasiasa wakisaidiana na mwanahalisi inasemekana wanamlisha maneno ili aje ayaseme kuonyesha kwamba serikali ndio inahusika na kwamba mkenya ametengenezwa. namtakia afya njema dr ulimboka na ninamshauri asiendeleze malumbano,aendelee kupigania uhai wake kwanza kwani jamii ya watanzania bado inamhitaji na maadui zake bado wanamuwinda.
[/h]
 
Confirmed! Kikwe ana husika...na jumba lake la magogoni. Siku moja tukiwa katika mkutano wa ndani wa Chama (Sio wa Hadhara) Mh. Mbowe, alisema kuna watu wakati wa kufa hurusha miguu sana na usipokuwa makini uliye pembeni utapigwa mateke,alikuwa akitoa Angalizo kuhusu chama cha Majambazi kuwa kinapoelekea kufa KINAKUFA NA WENGI, kila mtu awe makini, wakati tunakifunika sanda NYEKUNDU,mtu akae upande wa kichwani, ukikaa miguuni tu, umekula teke.
BURIANI CCM :A S cry:
 
Confirmed! Kikwe ana husika...na jumba lake la magogoni. Siku moja tukiwa katika mkutano wa ndani wa Chama (Sio wa Hadhara) Mh. Mbowe, alisema kuna watu wakati wa kufa hurusha miguu sana na usipokuwa makini uliye pembeni utapigwa mateke,alikuwa akitoa Angalizo kuhusu chama cha Majambazi kuwa kinapoelekea kufa KINAKUFA NA WENGI, kila mtu awe makini, wakati tunakifunika sanda NYEKUNDU,mtu akae upande wa kichwani, ukikaa miguuni tu, umekula teke.
BURIANI CCM :A S cry:

khaaa sasa ww unaamin maneno ya DJ
 
tiGO imefukuza karibu wafanyakazi wake 30 kutokana na kile kuwa wamefanikisha Kubenea au MwanaHalisi kupata mlolongo wa mawasiliano ya simu kati ya yule mfanyakazi wa ikulu, Ramadhani, na Dr. Ulimboka. Je, hii ni sababu au ushahidi tosha ya kuthibitisha kuwa serikali inahusika na mkasa wa Dr. Ulimboka?

Source: TanzaniaDaima 8/8/2012, toleo namba 2805, Wednesday
Kumbe tiGO imewafukuza wafanyakazi wake???, CMA iko wazi inawasubiri hao wafanyakazi ndani ya muda walete malalamiko yao suluhu itapatikana.
 
Haki ya mtu haichukuliwi,ila inaweza kucheleweshwa ata kama ni miaka mia ipo siku ataipata.
 
Kila kazi ina ethics zake. Haijalishi hata kama kuna kitu kina kukera ,uende kutoa siri. Hii ni moja za sababu ya employers kutokuwa na imani na Watanzania.
 
Habari za kuaminika toka ndani ya uvungu wa kampuni ya simu ya tigo, limeingia hatua nyingine baada ya wafanyakazi wake wanasadikika kufukuzwa wakidaiwa kutoa information za mawasiliano aliyoyafanya Dr Ulimboka na watekaji wake kwa Saed Kubenea, kazi hii imefanywa kwa ufasaha mkubwa sana na makachero nchi wanaofanya kazi ndani ya kampuni na wengine walionje ya kampuni, hii inasikitisha sana,

serikali inahusika moja kwa moja juu ya hili sakata! lakin naomba mtambue mwisho wa haya yote u karibu sana!
 
Eh,haya mambo bado yanaendelea,,,tigo wenyewe hata siku nzima huwa wako off-air,washatuchosha,hapa nipo maeneo ya mikochen industrial arean,netweki inasumbua ajabu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom