Singo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,184
- 1,105
kama wamedhani siri imevujishwa na wafanyakazi wa tigo hiyo ni akili ndogo.Kuna watu kwa nafasi zao za kazi serikalini(USLAMA)wanaweza kuihitaji taarifa za mtu yeyote za mawasilino yake,na hao kwa utashi wao wameona ni vyema wanachi wajue pitia mwanahalisi, na isitoshe wataendelea hivyo kwa wasivyo viafiki.