Tumaini university and all the associate university colleges
hadi sasa ni udom ikifuatiwa na udsm
Chuo bora ni Udom kikifuatiwa na SUA.udsm haifai kuingia ata 5 bora tatizo rank hazifuati vigezo.
Chuo bora ni Udom kikifuatiwa na SUA.udsm haifai kuingia ata 5 bora tatizo rank hazifuati vigezo.
acha ukiraza, unataka kuniambia UDOM inastahili kuwa kwenye rank na sio UDSM? Udsm haistahili kukaa kwenye tano bora? Hivi wewe unaakili kweli au? Hebu nenda kapige research na sio kuropoka tu. Udom hamna kitu. Hata mia bora ya vyuo vya afrika sidhani kama ipo.
Umetumia kigezo gani na wewe? Facilities, Walimu au Umri?????????