Wakuu,
Natumaini wote tumesikia kuwa Serikali itatumia jumla ya shilingi bilioni 200 kwa ajili ya Vitambulisho. Haya yanafanyika wakati karibu watoto milioni 4 wa shule zetu za msingi wanakaa chini na mbaya zaidi hali ya vitabu katika shule zetu zote ni ya kukatisha tamaa. Sekondari za kata ndiyo usiseme. Binafsi sioni umuhimu wa kutumia shilingi bilioni 200 kwa ajili ya vitambulisho wakati elimu yetu iko ICU.
Natumaini wote tumesikia kuwa Serikali itatumia jumla ya shilingi bilioni 200 kwa ajili ya Vitambulisho. Haya yanafanyika wakati karibu watoto milioni 4 wa shule zetu za msingi wanakaa chini na mbaya zaidi hali ya vitabu katika shule zetu zote ni ya kukatisha tamaa. Sekondari za kata ndiyo usiseme. Binafsi sioni umuhimu wa kutumia shilingi bilioni 200 kwa ajili ya vitambulisho wakati elimu yetu iko ICU.