Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,833
- 155,780
Jamani je mwanamke akijua kukatika wakati wa majamboz ndio anajua mapenzi?
Vipi kama sio mwaminifu, hakujali, hakuthamini, hakutunzi na wala hakuthamini?
Anakutusi, anakusimanga na wakati mwingine anakuzaba vibao? Lakini mkiingia kitandani anakatika kama feni?
Vipi kama sio mwaminifu, hakujali, hakuthamini, hakutunzi na wala hakuthamini?
Anakutusi, anakusimanga na wakati mwingine anakuzaba vibao? Lakini mkiingia kitandani anakatika kama feni?