Kipi kipimo cha mwanamke kujua kufanya mapenzi?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,833
155,780
Jamani je mwanamke akijua kukatika wakati wa majamboz ndio anajua mapenzi?
Vipi kama sio mwaminifu, hakujali, hakuthamini, hakutunzi na wala hakuthamini?
Anakutusi, anakusimanga na wakati mwingine anakuzaba vibao? Lakini mkiingia kitandani anakatika kama feni?
 
Jamani je mwanamke akijua kukatika wakati wa majamboz ndio anajua mapenzi?
Vipi kama sio mwaminifu, hakujali, hakuthamini, hakutunzi na wala hakuthamini?
Anakutusi, anakusimanga na wakati mwingine anakuzaba vibao? Lakini mkiingia kitandani anakatika kama feni?

Geuza upande wa pili wa shilingi.Naomba utujibu na sisi. nawakilisha.
 
Haya wee! Huwa ni bahati mbaya tu mkimaliza anakwambia halafu wewe mie sijazoe wewe ni mtu wa tatu tangu nimjue mwanaume
 
Jamani je mwanamke akijua kukatika wakati wa majamboz ndio anajua mapenzi?
Vipi kama sio mwaminifu, hakujali, hakuthamini, hakutunzi na wala hakuthamini?
Anakutusi, anakusimanga na wakati mwingine anakuzaba vibao? Lakini mkiingia kitandani anakatika kama feni?

Kutokana na heading yako, jiulize kwanza kufanya mapenzi maana yake nini halafu ndo uanze kujiuliza hayo mengine!!1
 
hapana ila mapenzi c ngono tuu bali hata kutunzana na kuthaminiana ni mapenza hivyo kukatika wakat wa majamboz si kitu pasipo na aman na upendo ndani yake
 
aaa lakin kuna story nyengine ,zinatukata mbavu,, zina chekesha ,kuzabwa vibao,, na mwanamke,, haha so intresting ithink..
 
Cha kusikitisha kuna vijana wanatangaza ndoa kisa tu kapewa mauno ya hatari.
Wakiingia kwenye ndoa, mke anakuwa mkwe, ndoa inakuwa ndoano kisha kuachana
 
Bujibuji una hoja katika hilo,Yamkini unataka kutofautisha speed ya feni katika mauno ya mfanya mapenzi au mapenzi kama kigezo muhimu uwepo wa kukata mauno.Tenganisha ndoa na mapenzi,Kisha ufanye tathimini kujua mauno kama ni sehemu ya kufanya mapenzi au mapenzi ni sehemu muhimu kukiwepo mauno kwa kasi ya speedi ya feni. NAWASILISHA
 
Cha kusikitisha kuna vijana wanatangaza ndoa kisa tu kapewa mauno ya hatari.Wakiingia kwenye ndoa, mke anakuwa mkwe, ndoa inakuwa ndoano kisha kuachana
tatizo mnaangalia kwa macho wachumba zenu kisha kesho mnakuja kujisifia Jf kuwa nina demu mkali nataka kuoa,. Mungu unamuweka kando, demu akianza kukuzingua baada ya ndoa, ndio unamkumbuka Mungu, mara ohh mchungaji niombee.JIFUNZENI KUMTANGULIZA MUNGU.
 
Jamani mahusiano na kufanya ngono ni vitu viwili tofauti! Sasa kama walivyokuuliza hapo juu, inategemea what u mean by mapenzi! If u narrow it to making love (art of making love) then to most men mwanamke awezaye kukatika mara nyingi husifiwa kujua mapenzi; lkn kama mapenzi yana maana kubwa zaidi (jinsi mnavyohusiana; then kukatika peke yake hakutoshi, kumqualify mwanamke kujua mapenzi.

Vipi kuhusu mwanamume?
 
Back
Top Bottom