Kipi chuo kikuu bora Tanzania?

Kwa faida ya wengi, napenda kuorodhesha vyuo na madaraja ambayo yanapangwa sana katika vyuo hivyo kupitia TCU na sio PRIVATE;

1. UDSM (div 1.3 - div 2.12)
2. ARU (div 1.3 - div 2.12)
3. MUHAS, KCMC (div 1.3 - div 2.10)
4. MZUMBE (div 1.3 - div 3.15)
5. SUA (div 1.7 - div 3.15)
........................................

Chini ya hivi vitano (5), vinaanza vyuo visivyo na ushindani na vyenye ubora wa kawaida, kama vile;

6. UDOM (div 2.12 - div 3.17)
7. SAUT (div 3.15 - div 4.19) etc.

Naamini hapa unaweza kupata picha ya daraja lako na chuo unachoweza kupata, ubora wa chuo unaweza kupimwa na wanaoomba kusoma katika chuo husika, kama wana ubora basi chuo kinakuwa bora, tafadhali sana zingatieni hizo alama, zinamsaada sana kwenye kupima ubora na udhaifu wa vyuo hapa nchini.

NB: CHUO BORA AU DHAIFU HAKIHUSIKI NA CHOCHOTE KATIKA MFUMO WA AJIRA WA HIVI SASA, KINACHOHUSIKA NI UNAMJUA NANI HAPO OFISI, MENGINE ZAIDI YA HILI NDIO YANAFUATA. Source: Mimi mwenyewe mdau.

Wewe ndiye pekee uliye mjibu mleta mada tena kwa vielelezo, kigezo ulichotumia ni chenye mantiki katika ku-rank vyuo vyetu.

Haya sasa, kama kusikia ulikuwa hutaki, basi tumia fursa ya kuona.
 
Chuo kizuri ni akili yako tu.bt bongo tuna vyuo vyenye ahueni mfano udsm,sua, muhimbili na ardhi..hvo vingne vilivyobaki ni bora liende tu,hakuna kitu kabisa.
 
Chuo kizuri ni akili yako tu.bt bongo tuna vyuo vyenye ahueni mfano udsm,sua, muhimbili na ardhi..hvo vingne vilivyobaki ni bora liende tu,hakuna kitu kabisa.

we hauna akili#saut je chuo kikubwa kuliko vyote nchini#
 
Wewe ndiye pekee uliye mjibu mleta mada tena kwa vielelezo, kigezo ulichotumia ni chenye mantiki katika ku-rank vyuo vyetu.

Haya sasa, kama kusikia ulikuwa hutaki, basi tumia fursa ya kuona.

unamsifia kilaza uyo?labda yuko veta! Saut et 3.15, kwa taharifa yenu wa2 2na 1.9 na 2ko saut.
 
usidanganye watu. udsm no 1 tz, ya 16 africa',1521 duniani. makumiranimeifuta hadi nimechoka.
 
'poor minded persons think in the line of impossibilities' udsm ugumu wake nin? inaonekana unapenda mteremko.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom