Best Mzava
Senior Member
- Jul 20, 2012
- 135
- 10
UDSM,SUA,MUHAS,MZUMBE,CUHAS,na ARU ndio habari ya mujini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa faida ya wengi, napenda kuorodhesha vyuo na madaraja ambayo yanapangwa sana katika vyuo hivyo kupitia TCU na sio PRIVATE;
1. UDSM (div 1.3 - div 2.12)
2. ARU (div 1.3 - div 2.12)
3. MUHAS, KCMC (div 1.3 - div 2.10)
4. MZUMBE (div 1.3 - div 3.15)
5. SUA (div 1.7 - div 3.15)
........................................
Chini ya hivi vitano (5), vinaanza vyuo visivyo na ushindani na vyenye ubora wa kawaida, kama vile;
6. UDOM (div 2.12 - div 3.17)
7. SAUT (div 3.15 - div 4.19) etc.
Naamini hapa unaweza kupata picha ya daraja lako na chuo unachoweza kupata, ubora wa chuo unaweza kupimwa na wanaoomba kusoma katika chuo husika, kama wana ubora basi chuo kinakuwa bora, tafadhali sana zingatieni hizo alama, zinamsaada sana kwenye kupima ubora na udhaifu wa vyuo hapa nchini.
NB: CHUO BORA AU DHAIFU HAKIHUSIKI NA CHOCHOTE KATIKA MFUMO WA AJIRA WA HIVI SASA, KINACHOHUSIKA NI UNAMJUA NANI HAPO OFISI, MENGINE ZAIDI YA HILI NDIO YANAFUATA. Source: Mimi mwenyewe mdau.
Dogo huwajui necta eeehh....subir matokeo yatoke,we post habr za vyuo bora afu baada ya matokeo 2ckuckie huku kisa necta wabaya,,,,be patient
:smile-big:
Mm ni muhtimu wa kidato cha 6 natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu ni kipi chuo bora wakubwa,nielekezeni mdogo wenu na munipe sababu kw nn ni bora?
Chuo kizuri ni akili yako tu.bt bongo tuna vyuo vyenye ahueni mfano udsm,sua, muhimbili na ardhi..hvo vingne vilivyobaki ni bora liende tu,hakuna kitu kabisa.
Wewe ndiye pekee uliye mjibu mleta mada tena kwa vielelezo, kigezo ulichotumia ni chenye mantiki katika ku-rank vyuo vyetu.
Haya sasa, kama kusikia ulikuwa hutaki, basi tumia fursa ya kuona.
unamsifia kilaza uyo?labda yuko veta! Saut et 3.15, kwa taharifa yenu wa2 2na 1.9 na 2ko saut.
Nenda DIT (a skilled hand has an innovated mind) hata founder wa JF ambapo mnabwabwaja pumba zenu kasoma hapo angalia hapa:Maxence M. Melo - Tanzania | LinkedIn.Mm ni muhtimu wa kidato cha 6 natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu ni kipi chuo bora wakubwa,nielekezeni mdogo wenu na munipe sababu kw nn ni bora?