Kipi chuo kikuu bora Tanzania?

Alimwambia nani Chuo kukijengwa kwa kodi za wananchi ndio kinakuwa Chuo kinachotoa elimu bora? Hebu soma kwenye matangazo ya kazi uone na ujiulize ni kwa nini baadhi ya Taasisi zinapotangaza nafasi za kazi kwa mtu mwenye digrii yoyote lkn wanaweka ..."isipokuwa digrii ya UDOM". Kama wewe ni mwl au kiongozi UDOM, nakushauri tafakari sana utagundua kuwa mnazalisha matatizo badala ya kiyapunguza. Poleni

Yaani nimegundua hauko sawa kabisa! hilo tangazo umeliona wapi tangazo ambalo lina maneno yenye red hapo? huku jamii forum ingekuwa watu wanapimwa IQ ndo wawe member ingekuwa bora sana..
 
km kawa UDSM itabaki chuo bora hapa tz na hata nyanja za kimataifa ktk koz mbali2 zitolewazo kw ku2mia wakufunzi wa utalamu wa juu
 
UDSM na OPEN, ww angalia hata kwenye ranking za vyoo vikuu pia competence kwa wahitimu bila shaka utakubali
 
Agumentum adbakulum,nilifiri mtu anaesoma chuo kikuu ana uwezo mkubwa sana wakufikiri kumbe sivyo wasomi wengi wanakuwa na hasty genearization ni vema kumshauri mtu ukawa accurate evidence sio unatoa wazo lolote lisilokuwa na ushaidi kisa umesikia,kwa tanzania hakuna chuo kizuri wasomi wale wale copy and paste G.P.A za kizembe watu wanapeana uzuri wa chuo ni kichwa chako inategemea we upo vp?tafiti zinaonesha kati ya wanafunzi wanaosoma masters UDSM wanafunzi wa TUMAIN,UDOM,MZUMBE,SUA ndio wanafanya good presentation.
 
km kawa UDSM itabaki chuo bora hapa tz na hata nyanja za kimataifa ktk koz mbali2 zitolewazo kw ku2mia wakufunzi wa utalamu wa juu
kweli umesoma udsm......hata uandishi wako uko shalo kama udsm...
 
Dogo huwajui necta eeehh....subir matokeo yatoke,we post habr za vyuo bora afu baada ya matokeo 2ckuckie huku kisa necta wabaya,,,,be patient
:smile-big:
 
agumentum adbakulum,nilifiri mtu anaesoma chuo kikuu ana uwezo mkubwa sana wakufikiri kumbe sivyo wasomi wengi wanakuwa na hasty genearization ni vema kumshauri mtu ukawa accurate evidence sio unatoa wazo lolote lisilokuwa na ushaidi kisa umesikia,kwa tanzania hakuna chuo kizuri wasomi wale wale copy and paste g.p.a za kizembe watu wanapeana uzuri wa chuo ni kichwa chako inategemea we upo vp?tafiti zinaonesha kati ya wanafunzi wanaosoma masters udsm wanafunzi wa tumain,udom,mzumbe,sua ndio wanafanya good presentation.
wambie wamekalili eti udsm kila siku hawajui kuwa udsm imeisha kilichobaki pale ni kusema chuo kikongwe tanzania lakini sio bora
 
Ngoja nikushauri mdog wangu. Nenda KIU hiki chuo kÍzuri sÀna hapa Tanzania. Nasema iv kwa sababu kwenye interview nlishnda mm uko S/ africa.
KwÀ sbb yÀ jina la chuo na uwezo bnafsi
 
mjomba tcu wapo kwa ajili yako, ila utajaribu kuweka udsm kwa eng. sua kwa kilimo,muhimbili afya. siku nyingine sema umesoma comb ip hiyo ndio nidham.
 
Mm ni muhtimu wa kidato cha 6 natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu ni kipi chuo bora wakubwa,nielekezeni mdogo wenu na munipe sababu kw nn ni bora?


Bila unafki JF ni chuo bora zaidi kwani ina wanafunzi wengi mno na faculty nyingi, pia ina madaktari, maprofesa, mawaziri kama kina MziziMkavu, wabunge tusio na posho tupo hapa tu kwa ajili ya kuamasisha wananchi. Na ukimaliza chuo, unapata kazi kupitia mtandao wa marafiki kutoka JF, yaani mambo yote ni hapa.
 
Last edited by a moderator:
Mm ni muhtimu wa kidato cha 6 natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu ni kipi chuo bora wakubwa,nielekezeni mdogo wenu na munipe sababu kw nn ni bora?

Jaman ndugu zangu wana Jf. Mie nilifanya mtiani wangu wa kidato cha 6 mwaka jana (2012)! xaxa nataka nikajaze form ya TCU niombe chuo. , guide-book inaonyesha kwamba mwf. achague program zizizozozidi 5 na zisipungue 3! sasa je, inakubalika kujaza vyuo 5 af prog. 1 @ chuo? au ni mbili mbili then moja kwa vyuo vitatu? Au ni prg. 3 then 2 kwa vyuo 2?? Mie apo xielewi vizuli! ila mie nimeandaa vyuo 4 ambapo chuo 1 kina prg. 2 af ivyo vingine 3 ni program mojamoja !!!! Af swali lingine ni je,, inakubalika kujaza prg. moja kwa vyuo vyote ulivyochagua? yan prg. moja irudiwe kwa kila chuo au zinatakiwa ziwe tofauti? nielewesheni jamani ili nikajaze form yangu ya TCU vizuli.


Kwa faida ya wengi, napenda kuorodhesha vyuo na madaraja ambayo yanapangwa sana katika vyuo hivyo kupitia TCU na sio PRIVATE;

1. UDSM (div 1.3 - div 2.12)
2. ARU (div 1.3 - div 2.12)
3. MUHAS, KCMC (div 1.3 - div 2.10)
4. MZUMBE (div 1.3 - div 3.15)
5. SUA (div 1.7 - div 3.15)
........................................

Chini ya hivi vitano (5), vinaanza vyuo visivyo na ushindani na vyenye ubora wa kawaida, kama vile;

6. UDOM (div 2.12 - div 3.17)
7. SAUT (div 3.15 - div 4.19) etc.

Naamini hapa unaweza kupata picha ya daraja lako na chuo unachoweza kupata, ubora wa chuo unaweza kupimwa na wanaoomba kusoma katika chuo husika, kama wana ubora basi chuo kinakuwa bora, tafadhali sana zingatieni hizo alama, zinamsaada sana kwenye kupima ubora na udhaifu wa vyuo hapa nchini.

NB: CHUO BORA AU DHAIFU HAKIHUSIKI NA CHOCHOTE KATIKA MFUMO WA AJIRA WA HIVI SASA, KINACHOHUSIKA NI UNAMJUA NANI HAPO OFISI, MENGINE ZAIDI YA HILI NDIO YANAFUATA. Source: Mimi mwenyewe mdau.
 
Kamaaa una takaaa kudico nendaa sua hakuna usharobaroooo palee watu wanapiga kaziiiiiii kwenda mbeleeee
 
Back
Top Bottom