AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Mkuu nakushauri nenda pale UDSM utapata hostel za vitanda bila godoro mabibo hostel lakin mwisho wa siku utatoka na jiwe la ukwel.
MigomoUgumu wake ni nini?
St. Augustine University of Tanzania!!
Mm ni muhtimu wa kidato cha 6 natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu ni kipi chuo bora wakubwa,nielekezeni mdogo wenu na munipe sababu kw nn ni bora?
Mm ni muhtimu wa kidato cha 6 natarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu ni kipi chuo bora wakubwa,nielekezeni mdogo wenu na munipe sababu kw nn ni bora?
vyuo vyote ni bora lkn
inategemea kwa nyanja ip. Chuo kama UDSM ni kizuri lkn ni kizur zaid
kama unachukua enginearing. Na for udactar nenda muhimbili.
Haswaaaaa. TZ Nzima hakuna Kama UDSM mpaka sasa
wanatakaje vichwa mkuu...wanakata watu vichwa au??? mbona kuna watu wana div3 tena mbovu na wako pale!!!! na walifanya applications na wamepata....UDSM unayosemea wewe ni miaka kumi iliyopita ila kwa sasa ni ya kawaida mnooooo!!Kama wewe ni kipanga nenda pale mlimani, lakini pale wanataka vichwa!!!!Kama ulipata marks za kuhesabia mfukoni, usijaribu hata kufanya application!!!
Tiba
kwa nyanja gani majengo??? hostel za kubebana kama magunia ya mpunga?? uhuni??? mchango katika kuiua tanzania yetu??elimu au nini!!! SIWEZI KUBALIANA NA KAULI YAKO!!Haswaaaaa. TZ Nzima hakuna Kama UDSM mpaka sasa
teh teh teh teh!!!....JE KIELIMU NI CHA SITA??udsm chuo cha 6 kwa ubora africa,, tafit zimebainisha, kuna swali?