Kipi Chaanza, LOVE ama COMMITMENT????

super thinker

JF-Expert Member
Nov 16, 2010
370
109
Confused kidogo, kwenye mapenzi ni kipi kinaanza, LOVE then Commitment kwamba unampenda mtu then unaamua kujicommit kwake ama Commitment then Love will definately find its way through kwamba as long as unahisi unapendwa, unajicommit then kwa uamuzi huo unampenda as you go along???????
 
Sijui unasemea mahusiano gani, ila ya ndoa za siku hizia... Inaanza committment. And if you are Lucky in the long run you Love one another.... Watu wanaangalia mtu ambae ana kazi na anajiweza... tabia yake kama ipo reliable kuweza kua mume/mke na baba/mama... kama wanaweza tengeneza maisha pamoja na kutegemea maendeleo (Ikipimwa kwa kazi ama shughuli za kila siku za wahusika). Kama jibu ni yes kwa yoote hayo then mna commit kua pamoja... then you Love.

Hio ya love ukubwani imekua nadra... sasa hivi Love ipo kwa wale ambao wanakua na kujifunza mahusiano....
 
Sijui unasemea mahusiano gani, ila ya ndoa za siku hizia... Inaanza committment. And if you are Lucky in the long run you Love one another.... Watu wanaangalia mtu ambae ana kazi na anajiweza... tabia yake kama ipo reliable kuweza kua mume/mke na baba/mama... kama wanaweza tengeneza maisha pamoja na kutegemea maendeleo (Ikipimwa kwa kazi ama shughuli za kila siku za wahusika). Kama jibu ni yes kwa yoote hayo then mna commit kua pamoja... then you Love.

Hio ya love ukubwani imekua nadra... sasa hivi Love ipo kwa wale ambao wanakua na kujifunza mahusiano....
Mimi ilikaa hivi...

Kwanza nilimtamani, then baadaye nikampenda baadaye nikaji-comit sijui uzoefu wa wengine
 
I am fully COMMITTED to you sweetie, you are so gorgeous and cute my darling....

A lot of people abuse the word LOVE so they can get someone to COMMIT, commitment is apart of LOVE but it's not just a word you use to describe commitment.
 
I am fully COMMITTED to you sweetie, you are so gorgeous and cute my darling....

A lot of people abuse the word LOVE so they can get someone to COMMIT, commitment is apart of LOVE but it's not just a word you use to describe commitment.

Mhh....the finest jibu lako gumu kuliko swali, much more confusion!!
 
Mimi ilikaa hivi...

Kwanza nilimtamani, then baadaye nikampenda baadaye nikaji-comit sijui uzoefu wa wengine


Ni wanaume wachache ambao huoa wale ambao wanawatamani Ipasavo! Wengi saana hu compromise. Anapo oa tamaa sio kigezo cha kwanza cha kua na huyo mwanamke. Kuna mengine anaangalia pia... Hii tabia hupelekea kwa wanaume ambao wanajirusha saana kuongoza kwa kua na galfriend wa kutoka nae usiku (ambae afaa kuonekana na genge la wanaume wenzie) na pia huyo huyo kua na galfriend alotulia nyumbani (yaani hana tabia ya kutoka usiku ama a clubbing type) akiwa na malengo ya kuoa hapo.

Kwa upande wako ndio ile ya wale ambao wapo katika mahusiano.... then wanakuja kuoana baada ya kumsoma kua afaa kua better half daima. Hivo hapo lazima ulimtamani kwanza.. with time you grew to love her (kwa sababu mbali mbali) then una commit.
 
Hili swali dah........
Commitment kutafsiri maana yake ni kuwa responsible au kutake responsibility juu ya kitu ambacho kitachukua muda, energy yako in a form of an obligation
Kimapenzi ni ile hali ya kuwa loyal, devoted au dedicated to a person or relationship.............. Sasa can you do that if you do not love that person?

Yes and No.
Yes- unawezakuwa responsible kwa mtu because of pity,
- Unawezakuwa loyal, devoted na dedicated kwa mtu because of his/her wealthy or other beneficial factors

No - Ni ngumu kuwa mkweli, loyal kwa mtu ambaye huna love kwake. Loyal inahusiana pia na kutokucheat kimoyomoyo
 
Hili swali dah........
Commitment kutafsiri maana yake ni kuwa responsible au kutake responsibility juu ya kitu ambacho kitachukua muda, energy yako in a form of an obligation
Kimapenzi ni ile hali ya kuwa loyal, devoted au dedicated to a person or relationship.............. Sasa can you do that if you do not love that person?

Yes and No.
Yes- unawezakuwa responsible kwa mtu because of pity,
- Unawezakuwa loyal, devoted na dedicated kwa mtu because of his/her wealthy or other beneficial factors

No - Ni ngumu kuwa mkweli, loyal kwa mtu ambaye huna love kwake. Loyal inahusiana pia na kutokucheat kimoyomoyo
Mmmmmmmh
 
Confused kidogo, kwenye mapenzi ni kipi kinaanza, LOVE then Commitment kwamba unampenda mtu then unaamua kujicommit kwake ama Commitment then Love will definately find its way through kwamba as long as unahisi unapendwa, unajicommit then kwa uamuzi huo unampenda as you go along???????

Nafikiri love ndiyo huleta committment na siyo vice versa. Sioni sababu ya maana kujicommit kwa mtu ambaye sina love naye, it is simply wastage of resource and time!
 
Love kwanza then comitment inafuata,mimi siwezi kujicomitt kwa mtu ambaye sijampenda,how can that be possible?
 
Confused kidogo, kwenye mapenzi ni kipi kinaanza, LOVE then Commitment kwamba unampenda mtu then unaamua kujicommit kwake ama Commitment then Love will definately find its way through kwamba as long as unahisi unapendwa, unajicommit then kwa uamuzi huo unampenda as you go along???????

infact knachotakiwa kuanza ni love, kwanza unampenda mtu then unajcommit kwake, love comes first
 
Sijui unasemea mahusiano gani, ila ya ndoa za siku hizia... Inaanza committment. And if you are Lucky in the long run you Love one another.... Watu wanaangalia mtu ambae ana kazi na anajiweza... tabia yake kama ipo reliable kuweza kua mume/mke na baba/mama... kama wanaweza tengeneza maisha pamoja na kutegemea maendeleo (Ikipimwa kwa kazi ama shughuli za kila siku za wahusika). Kama jibu ni yes kwa yoote hayo then mna commit kua pamoja... then you Love.

Hio ya love ukubwani imekua nadra... sasa hivi Love ipo kwa wale ambao wanakua na kujifunza mahusiano....

hakuna love kama hakuna hakuna commitment.................kwa hiyo lazima uwe mtu wa kubeba jukumu la kupenda ndiyo uweze kupenda............kama siyo mtu wa kubeba majukumu ......how can you love anyone including yourself...............unless you a responsible person.......
 
Hili swali dah........
Commitment kutafsiri maana yake ni kuwa responsible au kutake responsibility juu ya kitu ambacho kitachukua muda, energy yako in a form of an obligation
Kimapenzi ni ile hali ya kuwa loyal, devoted au dedicated to a person or relationship.............. Sasa can you do that if you do not love that person?

Yes and No.
Yes- unawezakuwa responsible kwa mtu because of pity,
- Unawezakuwa loyal, devoted na dedicated kwa mtu because of his/her wealthy or other beneficial factors

No - Ni ngumu kuwa mkweli, loyal kwa mtu ambaye huna love kwake. Loyal inahusiana pia na kutokucheat kimoyomoyo

commitment in a relationship can also be motivated by self-pity..when you are pitying someone actually you are just pitying yourself...............loyalty.....that comes after barrows and barrows of loving someone..........uzalendo haujii hivi hivi ...unless you care for that person.........material possessions...............have nothing with commitment but everything about raking care of your own insecurities.....................there is need to define love once and for all to get this subject in the right perspective.........
 
Love kwanza then comitment inafuata,mimi siwezi kujicomitt kwa mtu ambaye sijampenda,how can that be possible?

If it flows like that its so lovely, if it flows otherwise, it may be lovely bt may take time or may never be........
 
hakuna love kama hakuna hakuna commitment.................kwa hiyo lazima uwe mtu wa kubeba jukumu la kupenda ndiyo uweze kupenda............kama siyo mtu wa kubeba majukumu ......how can you love anyone including yourself...............unless you a responsible person.......


Ruta mimi nawewe twapishana padogo... Kuna tofauti ya kuelezea kitu jinsi inavotakiwa na vile ilivo katika jamii.... Mie nimeliongelea jinsi ilivo katika jamii tokana na Uelewa wangu na vile nionavo. Ukiniuliza the same question kua inatakiwa iwe vipi nitajibu "Love" kwanza... But itakua kujidanganya.... Wanaume wenyewe ndio mashahidi.. hamtongozi mwanamke sababu kampenda... (ni mara chache); Anamtongoza sababu kamtamani.... in the Long run atakuja mpenda.

Na inapotokea mwanaume akamtongoza mwanamke sababu kampenda hua ni wale ambao wafahamiana... wamekua maybe hata marafiki huko nyuma wa kawaida... ama karibu wakasomana tabia, wakazoeana na only to realise there are some feelings there....
 
Back
Top Bottom