Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,707
Tatizo lingine kila mtu anatamani kupendwa,hakuna alie tayari kupenda,wote tuna njaa ya kupendwa,wote hatukufundishwa kupenda hivyo ni vigumu kujua kupenda,tunatamani kupewa kitu tusichokijua na tunadaiwa kutoa kitu tusichokijua,hapo inakuwa ni kazi sana,tungejua kupenda ni nini tusingedai kupendwa kwani hatuhitaji kupendwa jukumu letu ni kupenda tu!