Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Waungwana wadau, kwanza ninasikitika kwa kutokuepo mkekani kama ilivyo kawaida yangu kwa takriban siku 4-5 kufuatia kufiwa na Mama mdogo wangu J'2 iliopita na tumemzika jana (R.I.P mama). Wadau imefika karibu mwezi mmoja tangu nitatizane na mpenzi ambapo issue ilikua nimie kumkalia kooni aache Pombe.
Tangia hiyo siku nilimtumia msg mbili hakunijibu ambavyo si kawaida yake, kilichofata nami nikajibu mapigo ya kukaa kimya na leo imefika mwezi kamili no communication each other.
Aidha sio siri maumivu niyapatayo ni makubwa kuliko sana, yote kwa yote still bado niko na msimamo wa kutovunja ukimya kwani naamini kwa kuanza mie kuvunja ukimya ni kujirahisisha kama sio kujidhalilisha.
Nachouliza kati ya kupata hasara ya kukosa penzi na hasara ya kupata katika kazi/shughuli (kifedha) ipi yenye nafuu ?
Tangia hiyo siku nilimtumia msg mbili hakunijibu ambavyo si kawaida yake, kilichofata nami nikajibu mapigo ya kukaa kimya na leo imefika mwezi kamili no communication each other.
Aidha sio siri maumivu niyapatayo ni makubwa kuliko sana, yote kwa yote still bado niko na msimamo wa kutovunja ukimya kwani naamini kwa kuanza mie kuvunja ukimya ni kujirahisisha kama sio kujidhalilisha.
Nachouliza kati ya kupata hasara ya kukosa penzi na hasara ya kupata katika kazi/shughuli (kifedha) ipi yenye nafuu ?