Ado Shaibu
Member
- Jul 3, 2010
- 99
- 108
ikumbukwe kwamba mahakama ya kadhi ni suala la kiroho.ikumbukwe pia ni wanasiasa waliowaahidi waislam mahakama ya kadhi[mrema,ngawaiya na ilani ya ccm 2005].tunavyojadili suala hili ni muhim tutazame diction yetu.utumizi wa maneno kama'mahakama ya kadhi ni suala la kipumbavu' hivyo slaa hana muda nalo ni maneno yanayowadhiaki inocent moslems.ikumbukwe kuwa slaa atahitaji kura za wote[moslems+christans+others] ili kufanikisha dhima ya ushindi.tusitafute sababu za kijinga kuwa-influence moslems kwamba dk slaa hawahusu na kuwanufaisha mabingwa wa kupika propaganda.tunapotumia jf kama platform tukumbuke dhana ya religion tolerance:tape: