MR. DRY JF-Expert Member Oct 5, 2011 637 122 Jul 25, 2012 #1 Ninatatizo la kutoka kipele kikubwa pindi nikinyoa mavu.zi Kinauma sana hata kufunga mkanda inanitesa.. Nisaidieni kwa ugonjwa huu.
Ninatatizo la kutoka kipele kikubwa pindi nikinyoa mavu.zi Kinauma sana hata kufunga mkanda inanitesa.. Nisaidieni kwa ugonjwa huu.
1 19don JF-Expert Member May 13, 2011 672 205 Jul 26, 2012 #2 mkuu hiki kipele kinaonenekana kina kutesa sana pole sana, punguza basi post naona umetuma nyingi hii ni ya 3
mkuu hiki kipele kinaonenekana kina kutesa sana pole sana, punguza basi post naona umetuma nyingi hii ni ya 3