Viwanja na Nyumba
Member
- Apr 4, 2012
- 56
- 3
Sisi kama wadau wakubwa wa ardhi, hususan mashamba, viwanja na nyumba, tunapenda kuhimiza serikali kuweka kipaumbele cha umiliki wa ardhi kwa mlala hoi katika Mkakati wa Kilimo Kwanza Tanzania - MKIKWATA.
Bila ya walala hoi kuwezeshwa katika kumiliki ardhi, pengo la walio nacho dhidi ya wasio nacho litaongezeka na kukwamisha maendeleo yaliyokusudiwa katika dhana nzima ya MKIKWATA.
Tunaunga mkono kwa dhati MKIKWATA, ila tunatoa tahadhari kwa jamii juu ya changamoto zinazojitokeza katika suala zima la umiliki wa ardhi, kwa nia njema kabisa ya kufikia malengo yaliyokusudiwa.
Bila ya walala hoi kuwezeshwa katika kumiliki ardhi, pengo la walio nacho dhidi ya wasio nacho litaongezeka na kukwamisha maendeleo yaliyokusudiwa katika dhana nzima ya MKIKWATA.
Tunaunga mkono kwa dhati MKIKWATA, ila tunatoa tahadhari kwa jamii juu ya changamoto zinazojitokeza katika suala zima la umiliki wa ardhi, kwa nia njema kabisa ya kufikia malengo yaliyokusudiwa.