kipato cha mtanzania

kamikaze

JF-Expert Member
Jan 25, 2011
422
610
Jamani wana JF kuna kitu nimekuwa nikijiuliza kwa muda, kwa maisha ya sasa yalivyokuwa magumu kwa mtanzania aishie Dar ni shilingi ngapi kwa mwezi kama mshahara yaweza kumtosha angalau kupambana na hali ya maisha ya sasa.

Tuangalie kwa mtu ambae yuko single na anaishi peke na kapanga chumba/vyumba na mtu ambaye ameoa,kapanga na ana mtoto mmoja au wawili.Kuna watu kadhaa nimeongea nao na wenyewe wamekuwa na maoni tofauti wengine wanasema 500,000-800,000 na 1000,000-1,300,000.

Wana jf naomba kuwakilisha na natumai nitapata maoni mengi kutoka kwenu, natanguliza shukrani kwenu
 
Back
Top Bottom