Hapa udsm hapakaliki! Kipara asemekana kuwa chanzo cha matatizo kwa kujiunga na tahliso kinyemela pasipo kuwahusisha wapiga kura wake. Hoja hapa ni kwamba kipara ang'oke. Sasa najiuliza kipara mbona anang'ang'ania madaraka wakati waliomchagua hawamtaki na bunge limethibitisha hilo?