Kipanya leo!!

Jambo lakushangaza Serikali huwainajitahidi kuwafukuza ombaomba mijini, nakusahau kuwa na yenyewe ni ombaomba!
 
Hii ndiyo hali halisi. Tupambane kuibadilisha kwa gharama yoyote. Ni aibu kwa watz wote na ni wajibu wetu sote kuibadilisha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom