Kipanya leo: Uchaguzi Kati ya DHAIFU na DIKTETA, watu wanachagua DIKTETA

Hapa tulipo ni kwa ajili ya udhaifu wa viongozi wetu. Wewe mtu anaiba, kosa la jinai, raisi anasema rudisha hela usepe, si afadhali dikteta imara?
Jaribu kulinganisha Libya ya dikteta Mar. Gaddafi na Tanzania ya Kikwete.
Nitakuelewa ukisema kipanya hakuonesha dikteta kwa macho ya nani, marekani na washirika wake au wananchi watawaliwa!
Big up Kipanya.
 
Mosoud alichofanya ni kuchora kwa mtizamo wa kibaguzi na si hisia, na hakufikiri ktk kufikisha ujumbe, wepesi wa kufikiri wanaamini kama kiongozi utaacha kila kitu kikafanyika bila taratibu ni Demokrasia, Kuongoza kwa kutofuata,Katiba,sheria na Kanuni ni kuua Demokrasia tena ni hatari kuliko HITLER, Tunataka kiongozi anaejua wajibu wake kwa Taifa na Rais anaejua Mahitaji na matakwa ya watanzania, Tuna taka Rais anae ijua njia kutufikisha tunapo taka na si Rais asie jua anaipeleka wapi nchi kama ilivo sasa ambapo kila mpenda nchi hajui hitima ya Tanzania itakua nini, watanzania sasa wanatamani miujiza itokee hata aseme sasa Jamani Na STEP DOWN, Hakuna atakae mlilia labda familia yake na wale waliohongwa vyeo na wafanyabiashara wanakwepa kodi kwa kutumia Majina yao. Amekuwa RAHISI na si Rais,
 
Kwani ukiwa na dicteta kama Gadafi na ukiwa na rais kama jk bora lipi? 4my side Gadafi bora
 
Kwa mujibu wa uelewa wangu katika hii katuni,ni kwamba watz wengi wameanza kumkumbuka mzee Mkapa ambay amekuwa akitazamwa kama Dikteta.Na hivi juzi Jk kaitwa Dhaifu.Watz wanasema ni heri enzi za mkapa mfumuko wa bei ulikuwa ahueni,maendelo ya nchi yalionekana,madeni ilitamkwa kupungua na nchi ilikuwa na uwezo wa kutoa tamko hata kwa nchi bepari.Lakini Kijana dhaifu (na ataendelea kuitwa kijana tokana na tabia zake) yeye kazi yake kuomba omba barabarani na kujichekesha chekesha tu mbele za watu.
 
Kati ya wasanii ambao wanafanya kazi zao kwa weledi basi Kipanya ni mmoja wapo.Huyu Jamaa Tangu Mwaka Jana ameamua kuweka background nyeusi(giza) kumaanisha hili ni Taifa la mgao lisilo na suluhisho la kudumu la Nishati ya umeme.Yuko very consistent kwenye fani yake.Atakapojiridhisha kuwa Mgao ni historia(kama ahadi ya JK ilivyo) pengine katuni zake atazichora kwenye plain background

Pia anajua kufikisha ujumbe wake vizuri.Ukosoaji wake kupitia katuni sometimes unaleta logic kuliko hata mwandishi wa zaidi ya kurasa 3 za makala
Hata wewe ilitaka raisi dikteta, lakini alipokuja, ukageuka.

Ulipopotea, Wenzio walipiga kelele kweli na kuweka hashtag kibao (bring back you), sasa hivi wamekusahau mazima sidhani kama hata wanakukumbuka.

Hivi ulishapatikana au bado umepotea?

Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
 
Uchambuzi siyo uchaguzi. Na kama kura zenyewe zinapigwa kwa mistati tofauti nani hajipendi akapange mstari kwa dhaifu?
 
Kwa mujibu wa uelewa wangu katika hii katuni,ni kwamba watz wengi wameanza kumkumbuka mzee Mkapa ambay amekuwa akitazamwa kama Dikteta.Na hivi juzi Jk kaitwa Dhaifu.Watz wanasema ni heri enzi za mkapa mfumuko wa bei ulikuwa ahueni,maendelo ya nchi yalionekana,madeni ilitamkwa kupungua na nchi ilikuwa na uwezo wa kutoa tamko hata kwa nchi bepari.Lakini Kijana dhaifu (na ataendelea kuitwa kijana tokana na tabia zake) yeye kazi yake kuomba omba barabarani na kujichekesha chekesha tu mbele za watu.
Unajisikiaje kwa hii coment yako
 
daaah nyuzi kama hizi zifufuliwe upyaa ili tujuane viziri vizabizabina ni wapi leo wanataka hili wakipata hawataki tena wanataka lile....JF ongezeni vionjo humu ili tuweze kuoanisha comments za memba kwa Mwaka huu na miaka miwili ijayo kirahisi yaani tuwe tunasearch tu tunakubandikia comments zako.
 
daaah nyuzi kama hizi zifufuliwe upyaa ili tujuane viziri vizabizabina ni wapi leo wanataka hili wakipata hawataki tena wanataka lile....JF ongezeni vionjo humu ili tuweze kuoanisha comments za memba kwa Mwaka huu na miaka miwili ijayo kirahisi yaani tuwe tunasearch tu tunakubandikia comments zako.
 
kama hii katuni inanasibishwa na na kura za jana bungeni, basi haina mantiki. kwanza kama dhaifu ndiyo hao chdm mbona walipiga kura za hapana. mbona hapo kwenye msitari hakuna mtu upande wa dhaifu!!!!!!!


kama katuni inahusu uchaguzi wowote ule, mbona maneno dhaifu na dikteta hayaendani! bora vichwa vya habari vingekua MASKINI na TAJIRI. watu wanampa kura tajiri wanamuacha maskini.


si jambo la kawaida watu kumpa kura dikteta. kipanya najua maana ya dikteta. kwanza dikteta hapendwi na watu. labda kama neno dikteta nalielewa tofauti. AMA KWELI WATANZNIA BADO TUKO NYUMA KIELIMU NA KIUCHAMBUZI. NDIYO SABABU TUNAWAOGOPA WAGANDA NA WAKENYA KTK JUMUIYA YETU. nilitegemema kuona watu wanamdis kipanya lkn kinyume chake anamwagiwa sifa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! makubwa haya!
Tufanye unavotaka wewe, umekua nani... Kweli wewe kichwa hewa, unategemea watu wote umu wawe na mtazamo sawa??
 
Dah, sijui umetumia kigezo gani kudraw conclusion kuwa ni wanaume watupu!!!
hawa watu hawaonekani kwa mbele kama wana matiti au hapana, na kama umetumia mavazi utakuwa umekosea sana kwani unajua kabisa kuwa siku hizi wote tunatinga jins na t-shirt.

pili foleni ni ndefu sana kiasi kwamba walioko mwishoni hawaonekani vizuri, inawezekana hao ndo wanawanawake kwani wamechelewa kidogo kufika, si unajua majukumu ya mmama tena nyumbani, anyonyeshe kwanza watoto, amnyonyeshe na mumewe, na afanye usafi kidogo chumbani, na kupaka mapouda na lipstick/shine na kuweka katani zake (wigi/wiving) vizuri
ha ha ha ha h a lo
Ndio uwezo wake wa akili uliishia apo mkuu.. Muache tu
 
Kwani ukiwa na dicteta kama Gadafi na ukiwa na rais kama jk bora lipi? 4my side Gadafi bora
Nakupenda kwa mtazamo wako,nitakupenda zaidi kama bado umesimama kwenye mtazamo huo.
 
Back
Top Bottom